OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,095
- 103,339
“Ninapowaeleza kuwa uchumi wetu ni mzuri, ni mzuri kweli kuwa na uchumi mzuri hauna maana kuwa na mahela umeyajaza chumbani. Uchumi ni pamoja na kuwa na hela ngumu kuipata, kizuri hakipatikani hovyo hovyo, ni lazima utoe jasho. Nilikuwa nazungumza juzi pale Mwanza kuwa bajeti ya Afya imepanda kutoka bilioni 31 hadi bilioni 269 na Tanzania tukapewa nafasi ya kuuza madawa katika nchi zote za SADC.“amesema Rais Magufuli Tarehe 6 Novemba 2017 mkoani Kagera wakati wa ufunguzi wa mradi wa wa upanuzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba, mkoani Kagera.
Chanzo: Bongo 5
Chanzo: Bongo 5