Rais Magufuli: Uchumi mzuri ni pamoja na kuwa hela ngumu kuipata; kizuri hakipatikani hovyo hovyo

Economics ngumu ...ndiyo maana Zitto aliamua kuisomea ili aki apply ku elaborate state of affairs hata vichwa mbuzi vielewe ...matokea wakina Jane Murro ma economists walero
 
Hilo ndio watanzania wengi hawakielewi. Hawaelewi kwamba panahitajika kazi kubwa sana na mda mrefu zaidi ya miaka 10.
Nimefurahishwa sana na majibu yako. Hayana kebehe wala matusi, na ufafanuzi mzuri.
Tunahitaji kuelimishana na wala sio matusi au lugha chafu...
matusi ni udhaifu na sign ya poor emotional intelligence. kuliko kutukanana bora nihamie jukwaa la picha au Biashara.
 
asilimia 90 ya watanzania ni wakulima;tunaiona mvua,tuitumie vizuri mvua hii ili tujikwamue na njaa lakini anayetegemea pesa atasubiri sana.
 
alifafanua alichomaanisha.
uchumi mzuri sio kuwa na access ya pesa bila kazi.
pesa zinakuwa ngumu kwa maana ya upatikanaji wake unahitaji kufanya kazi halali kwa bidii, na kwa kufanya hivyo uchumi unakua.
Wakulima wamefanya kazi kwa bidii kulima mbaazi walichoambulia debe sh.5600 tena kwa daresalam. sijui shamba itakuwa tsh. Ngapi?.
 
Wakulima wamefanya kazi kwa bidii kulima mbaazi walichoambulia debe sh.5600 tena kwa daresalam. sijui shamba itakuwa tsh. Ngapi?.
hizo ni changamoto ambazo zinazotakiwa kutatuliwa na watawala na wakulima wenyewe kujengewa uwezo.
mfano, sijui sababu lkn, kama kweli india kukiwa na overproduction ya mbaazi huwezi kuwalaumu kwa kuzikataa.
suluhisho ni kutafuta soko jipya au sisi wenyewe tuyapandishe hadhi ya maharage maana huwa hatuzili.

kama ni hujuma za kiuchumi na sisi tuwekeze katika ujasusi wa kiuchumi ili kuiona hatari kabla haijatudhuru.
kulalamika haileti afya.
 
alifafanua alichomaanisha.
uchumi mzuri sio kuwa na access ya pesa bila kazi.
pesa zinakuwa ngumu kwa maana ya upatikanaji wake unahitaji kufanya kazi halali kwa bidii, na kwa kufanya hivyo uchumi unakua.
Huyu mtu wenu hajui aliposimamia!! Mwanzo alisema atahakikisha gap kati ya masikini na tajiri linapungua kama si kwisha kabisa! Baadaye tulivyomshtua kuwa vyuma vinakaza zaidi akatuambia tuvumilie kwanza kwani anafanya uhakiki wa matumizi ikiwa ni pamoja na kutumbuatumbua majipu hivyo tusubiri! Mara Akaja na episode nyingine akisema kuwa wanaolalamika kuwa hali ni ngumu ni wapiga dili waliozoea kula bila jasho!!tena akadai kuwa ataendelea kubana zaidi hadi wanyooke! Tena akaenda mbele zaidi kwa kusema kama kuna mtu atabaki mjini hadi mwezi Juni/2017 basi huyo atakuwa ni mwanaume kweli kweli!! Aliposikia milio ya hali ngumu inaongezeka kutoka kila kona Akaja na pambio jipya!akatuambia kuwa kwenye vita ya uchumi lazima waumie hata wasiokuwemo!!!eti tuvumilie tena!mara akasema kuwa fedha zimeadimika kwa kuwa amebana mianya ya rushwa! Ough!! Leo tena anasema kukosa fedha za kujikidhi ndiyo uchumi mzuri!!! Tutegemee nini huko mbele?? Only God knows.
 
sijamuona na hiyo luxurious life sijaiona mkuu, kama umeiona na unauthibitisho weka tujadili mara ya mwisho nimeona wakinywa juice kwa pipi labda kama unazungumzia hiyo.

..

..mbona anatembea na MABULUNGUTU ya noti na kuyagawa kwenye ziara zake?

..fedha hizo chanzo chake ni nini? Ni binafsi alizopata kwa kuchapa kazi, au ni fedha za umma(bajeti ilipitishwa lini)?

..inaelekea ugumu wa fedha ni halali kwa walipa kodi wanaomlisha na kumvika, lakini yeye ni ruksa kutapanya fedha vile anavyotaka.

Cc Nzi
 
hayo ni matatizo mengine...
ila vile ndivyo nilivyomuelewa...
wapi hao wanao free-ride...
kupungua inaweza kuwa kweli kwa sababu pesa nyingi zinapelekwa kwenye econimic stimulators (miradi mikubwa) na upungufu wa pesa haramu mitaaani. system itakapokaa sawa kunakuwa na purchasing power nzuri tu ambayo ni product ya kazi halali na sio halali mchanganyiko na ujanjaujanja.
Hadi dakika tisini ziishe mtakuwa mmekaukiwa maji mwilini! Hakuna kazi ngumu kama kutetea upumbavu!
 
Story za uchumi mzuri bila kuangalia uzalishaji wa ndani ni upuuzi. Kwa mfano kama nchi tunajitosheleza kwa chakula? Tuna exoport vya kutosha? "Balance of Payment" iko sawasawa? Purchasing power ya wananchi je? Deni la taifa ni asilimia ngapi ya GDP? Kilimo je! Kinakuwa kwa asilimia ngapi kukingana na rate of population growth?
Hizi ndizo baadhi ya indicator za uchum
i mzuri. Mengine blahblah tu. Kwa bahati mbaya sana tunascore very low katika hizi indicstors!
 
Ni sawa kabisa upungufu wa hela husababisha thamani ya hela kupanda...
Wachache sana watakuelewa ila wengi watakutukana.

Sijuii kama wana kumbuka enzi za Mwinyi hela ilikuwa nje nje na ndipo uchumi wetu uliporomoka.
Sijuii kama wana kumbuka enzi za Mkapa, walimesema sana ila uchumi kidogo uka tulia dolla haikupanda kama enzi za Mwinyi.
Enzi Kikwete hazikutofautiana sana na za Mwinyi.

Wanao lalamika hakuna hela sasa hivi jua wengi wao walikuwa na dili ambazo sio halali.
 
Back
Top Bottom