Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Naona hata hujui nini nimeandika mkuu,nimekujibu kuwa hapa jf kuna watu wa aina mbalimbali wengine ni watu wa kutoka sehemu nyeti serikalini na wana jua mambo mengi sana ya serikali kuliko unavyo onyesha kuhoji
Mkuu nisawa pia lakini hilo lisitufanye tusieshimu mawazo huru ya watu wengine natamani ningekuwa na kuinbox out of this forum!!
Asante
 
Haaaa Politics as usual. Mipesa alizohongwa na CCM tyar kaiponda imeisha. Mwez juz alkuwa anataka arud CDM ikashndkna. Sasa kaja na kaujaja kapya kakutafta shavu kwa magu
 
Mkuu nisawa pia lakini hilo lisitufanye tusieshimu mawazo huru ya watu wengine natamani ningekuwa na kuinbox out of this forum!!
Asante
Kwa taarifa yako jf kuna kila aina ya kada kuanzia wajinga,wasomi,wapelelezi,mahakimu,na kada nyingine hivyo kuwa huru
 
Acha kubwabwaja bhasii hii sio fb bhana hapa ni jf kama una uxhahidi wakutosha weka mambo hadharani sio kuleta habar za kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Acha kubwabwaja bhasii hii sio fb bhana hapa ni jf kama una uxhahidi wakutosha weka mambo hadharani sio kuleta habar za kwenye vijiwe vya kahawa.
Like za kutosha mkuu
 
Gwajima alisema dr ndo basi tena, kashawekwa kiganjani.

Na sisi tunasema kwaheriiiiiiiii.
 
Watanzania ni wanafiki sana,alipogombea urais mlikuwa mnamwita jina gani?
 
Ccm Kweli Haina Pumzi Yaani Haaa !!! Lumumba Buku Saba Kwenye Fire Nowday.
 
Alipogombea urais ndipo mngelionyesha mapenzi yenu kwake.

Kwa sasa mnataka mtu ataemsaliti Magu ndo maana mnaona ni rahisi kwa Slaa kwani ana uzoefu huo.

Unafiki, usaliti na uzandiki ni jadi ya CCMScrow.
 
sijawaelewa mnaposema eti Dr slaa alinunuliwa na Membe!!ina maana alimnunua before July 2015?na kama alinunuliwa Membe after July 2015 ikikuwa kwa sababu gani hasa?ebu tupeni Maelezo? wekeni na ushahidi kama receipt au mkataba!!
 
Mmesahau kuwa Slaa alikuwa mbunge wa ccm,akakatwa akakimbilia upinzani,haitakuwa ajabu Slaa kurudi ccm
Ila slaa ili afanye kazi vizuri na magufuli,angeteuliwa ubunge akasaidie kuleta hoja zenye mashiko kule sio kujadili shanga
 
Back
Top Bottom