Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Slaa alirubuniwa na Form six Div zeroo January licha ya kujiita Dr wa PhD , alipigwa sound mpaka akalainika na kuchukua dola milion 2 na kutoroka Ukawa huku mwakyembe akimfundisha jinsi ya kuongea awahadae watanzania, Slaa Kwa sasa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi .
Uko na ushaidi inaonekana
 
Mbona alipokuwa mgombea Uraisi wakati ule hamkumchagua kuwa Rais wa Tanzania?acheni unafiki.
 
Huyo ndio katibu mkuu wa ccm,
Yupo Jirani na dodoma akisubiriwa kuitws
Samahani naota tuu
 
sitashangaa. Siasa ya Tnz aliye adui wa adui yako ndo aweza kukusaidia japo ktk mazingira hatarishi upande wake na wako. Pls go ahead! How is Polepole doing?
 
Back
Top Bottom