Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Jinamizi la CHADEMA linatisha sana
Pamoja na mambo mengi ambayo aliyafanya mwalimu ila bado naona umuhimu wa kuwepo screen fulani ya kufundisha na kuwaandaa viongozi wa baadaye na kigezo cha kuruhusiwa kugombea kimojawapo kiwe ni kama uliwahi kusoma kwenye taasisi hiyo ya uongozi maana maamuzi ya kukurupuka yanayoligharimu taifa kila kukicha yangeweza kuepukika!
 
Naunga mkono hoja!!!ampe hata taasisi moja tu inatosha!!tatizo ni bavicha na chama chao watasema eti anaminya demokrasia au eti analipa fashila!!bavicha huwa hawaoni jema lifanywalo na CCM!!
Ndoto zmetimia,Bavicha wanasema tayari fadhila imelipwa!
 
Nilikuwa napitia machapisho ya nyuma nikakukumbuka ndugu, najaribu kuwaza wana waoemu vindaki ndaki ambao wamekisotea chama wanajisikiaje na hizi teuzi za watu toka upinzani....najaribu kuwaza ila maana wanaofaa kupewa hizi hot posts ni wanaotoka upinzani tu kwa kuwa ni vichwa sana? Kwamba wasio na appointments ni magarasa ndani ya chama ama ni kuzidi kuwavutia wapinzani ili kuuzika kabisa upinzani? Nawaza tu...

Una uthibitisho gani kwamba walikuwa wapinzani?
 
Back
Top Bottom