Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

slaa slaa slaa anawalipa kiasi gani kumtafutia kazi huyo jamaa vijana wengi wapo mnamzungumzia huyo ili iweje..
 
Hicho kizee ni kinafiki sana pia mkumbuke kilimpora Mke wa mtu na kikaja kuwasariti Ukawa dk za mwisho kisa pesa za Membe , hicho kizee Slaa acha kibaki huko huko kimfulie na kumpikia chakula Josephine siasa za tanzania haziwezi tena.
Mkuu ujue huko ughaibuni kila kitu ni fedha hakuna kwenda kuchuma kisamvu wala kwenda kwa mangi kukopa maharage lazima slaa arudi maana alienda huko kwa fedha za kupewa na si endelevu
 
Hicho kizee ni kinafiki sana pia mkumbuke kilimpora Mke wa mtu na kikaja kuwasariti Ukawa dk za mwisho kisa pesa za Membe , hicho kizee Slaa acha kibaki huko huko kimfulie na kumpikia chakula Josephine siasa za tanzania haziwezi tena.
unakosea..zile hazikuwa za membe...ni za jikoni
 
dr anafaa kwa serikali ya magufuli.anaweza kuwa mshauri mzuri
 
Hii ni dharau kubwa kwa ccm! Yani ina maana ndani ya chama hakuna mwingine yoyote anayefaa zaidi ya Slaa? Tuwe watu wa tafakuri

Mkuu hapa wanaotafutwa kusemwa ni Ukawa ,wanazi wa CCM wanapenda kupika majungu sana hata kama ukweli unajulikana.
 
Yule anaendeshwa na mwanamke, hawezi tumikia Taifa.
 
Mweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!

Ni mtu mwadilifu !!

Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!

Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!

Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!

Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama

Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joice Ndalichako

Rais magufuli mlete Dr slaa!!
Technically nahisi una umri wa kutosha na sio Uvccm maana kataasisi ketu kale kana watoto wengi hawajui siasa zetu. Kwa kifupi tunahitaji MTU wakumsaidia JPM awe na msimamo kama wake Mwenyekiti na asiyumbishwe na NDOA..yaliyotokea CDM kwa Slaa ni kukosa msimamo kitu ambacho si vyema kuletwa CCM..Slaa abaki huko alipo hafai CCM bado tuna hazina ya kutosha na kutosha kwa ajili ya CCM.
 
Sasa mkuu kwanin tusiseme mamvi kuja na kupewa mikoba ya kugombea urais ni dharau kubwa kwa cdm na ukawa wao kwani hakukuwa na watu waliostahili kwa nafas ile??? tafakari kidogo bas kabla yakuandika.
 
Wacha kukariri ndugu yangu siyo kila mtu unayepata nafasi ya kujibishana naye hapa jamvini ni mwenzako,
Sasa kwanini usikae kimya kama mada uipendi ukinijibu nitakujibu tu!!
Kama utaki kaa kimya hili ni jukwaa huru
 
Sasa kwanini usikae kimya kama mada uipendi ukinijibu nitakujibu tu!!
Kama utaki kaa kimya hili ni jukwaa huru
Naona hata hujui nini nimeandika mkuu,nimekujibu kuwa hapa jf kuna watu wa aina mbalimbali wengine ni watu wa kutoka sehemu nyeti serikalini na wana jua mambo mengi sana ya serikali kuliko unavyo onyesha kuhoji
 
Sasa mkuu kwanin tusiseme mamvi kuja na kupewa mikoba ya kugombea urais ni dharau kubwa kwa cdm na ukawa wao kwani hakukuwa na watu waliostahili kwa nafas ile??? tafakari kidogo bas kabla yakuandika.
Mkuu upo sahii
 
Back
Top Bottom