Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Wazalendo wa kweli wa nchi hii
Wazalendo wako wengi, kwa hiyo bado uko pale pale, wewe na wazalendo gani? Speak for yourself, sema mimi namtaka fulani na sio kusema sisi otherwise uwataje kabisa hao wenzako
 
Hii ni dharau kubwa kwa ccm! Yani ina maana ndani ya chama hakuna mwingine yoyote anayefaa zaidi ya Slaa? Tuwe watu wa tafakuri
Kwani nikuulize professor Muhongo,Tibaijuka,Mkurugenza wa TPDC walikuwa wapi kabla ya kupata vyeo ndani ya CCM??
Kwa taarifa yako Dr Slaa anayo kadi ya CCM
 
naunga mkono hoja!!!ampe hata taasisi moja tu inatosha!!tatizo ni bavicha na chama chao watasema eti anaminya demokrasia au eti analipa fashila!!bavicha huwa hawaoni jema lifanywalo na CCM!!
Kuna jema gani limefanyika chini ya utawala wa ccm?
 
Kwa ujinga wako unafikiri slaa aliondoka CHADEMA kwa kuipenda CCM?
Slaa alirubuniwa na Form six Div zeroo January licha ya kujiita Dr wa PhD , alipigwa sound mpaka akalainika na kuchukua dola milion 2 na kutoroka Ukawa huku mwakyembe akimfundisha jinsi ya kuongea awahadae watanzania, Slaa Kwa sasa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi .
 
Hicho kizee ni kinafiki sana pia mkumbuke kilimpora Mke wa mtu na kikaja kuwasariti Ukawa dk za mwisho kisa pesa za Membe , hicho kizee Slaa acha kibaki huko huko kimfulie na kumpikia chakula Josephine siasa za tanzania haziwezi tena.
 
hako kazee Dr Slaa si kaadilifu hata kidogo kana njaa Hatari pia kanapenda kuchepuka kisiasa ndiyo maana kalinunuliwa kirahisi na Membe kakatorokea Canada , Magufuli akijichanganya akakaleta ccm atajutia uamuzi wake .
Mkuu upo sirious au ni ka chuki binafisi
 
Back
Top Bottom