Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

Rais Magufuli tunamtaka Dr. Slaa

naunga mkono hoja!!!ampe hata taasisi moja tu inatosha!!tatizo ni bavicha na chama chao watasema eti anaminya demokrasia au eti analipa fashila!!bavicha huwa hawaoni jema lifanywalo na CCM!!
Wewe ccm wamekufanyia lipi jema?
 
Naunga mkono hoja!!!ampe hata taasisi moja tu inatosha!!tatizo ni bavicha na chama chao watasema eti anaminya demokrasia au eti analipa fashila!!bavicha huwa hawaoni jema lifanywalo na CCM!!
Dr. Slaa alishapewa taasisi siku nyingi - yeye ni raisi wa CCRBT
 
Mweshimiwa Rais Dr: Magufuli ningependa kama utapangua safu yako ya uongozi mlete Dr slaa huyu anaweza kuwa kiungo mzuri wa kwendana na kasi yako!

Ni mtu mwadilifu !!

Mtu mtiifu Mwenye pia hofu ya mungu!!

Dr slaa naamini kabisa bado ana uwezi wa kulitumikia taifa kutoka na misimamo yake thabiti wengi mtakuwa mashaidi jinsi alivyokuwa ameijenga chadema kufanya kuwa taasisi imara huko nyuma misimamo yake juu ya mustakabari wa nchi hii anazo sifa zote za kufanikisha ndoto yake ya kulitumikia taifa kwa njia nyingine!!

Rais wetu naamini wewe ni msikivu. Tafathari lifanyie kazi jambo hili
Huyu mtu anakufaa sio lazima awe waziri hapana ilimladi aweze kulisaidia taifa!!

Ni vema sana kama angeungana na kufanya kazi na wewe kwani ni makini sana kama walivyo baadhi ya mawaziri wako walio makini kama

Hussein Mwinyi
Makame Mbarawa na
Joyce Ndalichako

Rais magufuli mlete Dr slaa!!
Nyama ya Chair Fire ni haramu hivyo pia supu yake ni haramu pia kwani itakuwa ni ya Chair Fire pia na siyo mnyama mwingine.
 
hako kazee Dr Slaa si kaadilifu hata kidogo kana njaa Hatari pia kanapenda kuchepuka kisiasa ndiyo maana kalinunuliwa kirahisi na Membe kakatorokea Canada , Magufuli akijichanganya akakaleta ccm atajutia uamuzi wake .[/QUOT
😀😀😀😀😀😀😀😀Duuuuuuu!!!!!! yaani mpaka basi!!!!!!!!
 
Dr.Slaa atamfunika Dr.Magufuli.Hawezi kufanya hilo kosa na ndio maana amechagua PM dhaifu!
 
Mh rais, tunaomba pokeawazo hili kwani watanzania tinamuamini sana Dr slaa kama tukuaminivyo wewe,tunaimani akija kukusaidia kasi yautendaji namafanikio itaongezeka. Raid wetu tunaomba fanyiakazi wazohili utaona mafanikioyake
 
Dr.Slaa atamfunika Dr.Magufuli.Hawezi kufanya hilo kosa na ndio maana amechagua PM dhaifu!
Haaaaah wewe tunachotaka sisi kazi sio mambo ya siasa kama atamfunika kwa kufanikisha Marengo nipoa
 
Back
Top Bottom