Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

Rais Magufuli, sasa serikali ihamie Dodoma

safi sana. lazima tuwe tunajiwekea commitment na kuwa results oriented.

stock-vector-tanzania-political-map-political-map-of-tanzania-with-the-capital-dodoma-national-borders-most-151269227.jpg


Jamaa ipitie tena hiyo map vizuri.inaonesha mpaka wa malawi na Tanzania kwenye ziwa nyassa ambao hatuutambui,na haitatokea iwe hivyo.
 
Habari wana JF
Mwenyekiti mpya wa ccm dr. JPM amedhamiria kuhamishia serikali yake Dodoma....wote mnaohusika anzeni kufungasha..


Masikini kwetu Rufiji sasa tutakuwa mbali na wadosi wa nchi, tulishazoea wenyewe kwenda na kurudi Dar yetu!
 
Ofisi za Dar zitauzwa au?
Huko Dodoma lijengwe jengo moja Liwe na wizara zote humo humo.
 
Back
Top Bottom