Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Anyways, uzungumzaji wa lugha kwa ufasaha sio kipimo cha uongozi/elimu bora.

Atleast mngemhukumu kwenye matendo yake na si lugha.

Kila kitu 'anaharibu'
sasa bank zinafilisika....
 
Wide scope of exposure ...when missing lazima akope maneno na mara nyingi lazima achukue yale aliyomeza
 
Kila mtu ana maneno yake apendeleayo kuyatumia, kwa hiyo isiwe tabu.
Kwanini yule wa mahaba hamumjadili? Leave alone my president
 
Twende class kidogo...

Catalyst is proactive in defining the sectors they participate in finding hidden sectors of Golda and not simply following others in the space they strike a great balance between being founder, friendly and also looking after their limited partners at every step of the journey.
Hiyo ya chemistry au physics ngoja nifatilie nitakuja
Kwangu hii mara ya pili sasa kumsikia mheshimiwa mtukufu rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akielezea maana ya neno 'catalyst'.

Mara ya kwanza ilikuwa ni pale Arusha kwenye mkutano wa jumuia ya Afrika Mashariki.

Sasa leo tena nimemsikia akielezea maana ya hilo neno wakati wa mkutano wake na rais Uhuru Kenyatta.

Angalia hiyo video hapo chini hususan dakika ya 7 na sekunde 53.



Huyu jamaa bana! Sijui hilo ndo neno alilofanikiwa kulikariri kiurahisi zaidi kwenye hiyo fani yake ya ukemia...

Kinda embarrassing....

Kiranga
 
Kinacho nishangaza hivi jamii forum ni uwanja wa kejeli, matusi, vitisho na kashfa kwa rais wetu ?! Hivi siasa zinaweza kutoa uhuru wa mtu kuongea chochote anachojisikia kwa kiongozi alitechaguliwa kwa uwingi Wa kura dhidi ya wale walioshindana nae ?
Kama usalama wa Taifa hili mko humu ndani kiukweli kabisa hamtutendei haki kabisa..!!!
Sisi tunakerwa sana na hizi kejeli na midhaha ya kipuuzi bila shaka inavuka mipaka na kutuvua nguo. Plz watafuteni watu hawa washughulikiwe kwa yale wayasemayo kama mfano. Plzzzzz.
Naunga mkono hoja, tena kama ulivyoshauri, kama Usalama wa taifa wamo humu waje wawakamate watu hawa wawafungulie mashtaka ya uhaini kabisa maana uchochezi adhabu yake ni faini ndogo tuu ya tumilioni tusaba tuu!.

Tena wasiishie kuwakamata tuu watu hawa na kuwashitaki, bali wageuke kabisa malaika, tuwapandishe juu kwa zile M 15,M.16 na Stealthy (tunazo kule tulikozificha,sipati jina kwa sababu ni siri) kisha washuke na parachute kama para troupes waonekane kama wameshuka kutoka mbinguni, watue juu ya jf na kuifungilia mbali, kisha wapae zao mbinguni walikotoka ili litimie like neno "na mara malaika wakashuka kutoka mbinguni wakaifunga mitandao yote ya kijamii nchini Tanzania" ili wanaokerwa na mitandao ya kijamii wapate amani, walale usingizi mnono maana mitandao hii inawakosesha sana usingizi.

Pasco
 
Jamani sio jambo jema kuwa tunamdhihaki mheshimiwa Rais kwa mambo ya kipuuzi kama haya
Huyu ni mkuu wa nchi
Tupo digital kiongozi, ukisema/ukifanya jambo linasambaa at a speed of light. Kama anafanya yasiyo sahihi ni lazima asemwe tu maana hakuna namna!!
 
Humu kuna MIJINGA mingi mno tena mno! Ukipata nafasi ya kukosoa una kosoa mara moja moja kama hivi. Tofauti na hapo utakuwa unakosoa kila mada.
Mkuu tumia busara kukosoa.
Siungi mkono kejeli kwa mkuu lakin pia hupaswi kutamka/kuidinisha kwa wengne kuwa fulan/kundi fulani ni "mijinga".
BTW mhe anajitaidi sn tumuunge mkono tusonge mbele. Anapokosea tumsahihishe kwa hoja na sio kejeli.
 
Sasa na wewe utakerekaje huku unacheka?

Ebu angali hii clip...(Alikiba katajwa humo kuanzia dakika ya tano)...utajua kwa nini nilikereka lakini baadaye nikalazimika kucheka (na kuhakikishia utacheka tu hata kama unaumwa).

 
Catalyst is a special word. Hata unapoandika Kiswahili au kiingereza unaweza kutumia neno ambalo ni special. Rais mwenzake alilielewa hilo na hata wasikilizaji tumelielewa. Like/hate him he is the President na hakufika hapo kwa sababu ya kumridhisha kila tom, dick and harry.
 
Kobello kasema...kunauwezekano bank zina'uwawa' kutokana na CEOs wa hizo benk kujilipa kupindukia, na kuwekeza kwenye isssues zisizofuata misingi ya financial management!! (Kwa kama kawa unaweza kuuliza 'who is Kobello')

'kuna uwezekano'

Hata mimi nasema 'inawezekana' ni Magufuli ndo source ya haya yote

nafikiri unaona matumizi ya hayo maneno
 
Kwangu hii mara ya pili sasa kumsikia mheshimiwa mtukufu rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akielezea maana ya neno 'catalyst'.

Mara ya kwanza ilikuwa ni pale Arusha kwenye mkutano wa jumuia ya Afrika Mashariki.

Sasa leo tena nimemsikia akielezea maana ya hilo neno wakati wa mkutano wake na rais Uhuru Kenyatta.

Angalia hiyo video hapo chini hususan dakika ya 7 na sekunde 53.



Huyu jamaa bana! Sijui hilo ndo neno alilofanikiwa kulikariri kiurahisi zaidi kwenye hiyo fani yake ya ukemia...

Kinda embarrassing....

Kiranga


Chemistry Form II
Catalyst is a substance that increase the rate of reaction,but remain unchanged at the end of the reaction
 
Akiondoka huko, nisikilizie Stand Up Comedians wa Kikenya watakavyokuja na mpya ..............!!
Haswa Eric Omomdi. Maana kila Diamond akitoa video lazima aitolee comedy. TAYARI nyimbo "Utanipenda" na "Salome" kishazifanyia "Utani" wake hivyo uwezekano wa kumuigiza JPM upo.
 
Back
Top Bottom