Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Jamani sio jambo jema kuwa tunamdhihaki mheshimiwa Rais kwa mambo ya kipuuzi kama haya
Huyu ni mkuu wa nchi
Afadhali umeongea kaka, masihara yana mipaka yake. Halafu anayemcheka mkuu wa nchi angalau awe na elimu, maarifa, hekima ,busara, japo robo tu ya huyo anayemdhihaki.
 
Ona unavyojichanganya sasa! Wewe ndiyo inabidi nikuulize kwa sababu umeleta hii mada.

Mtu mwenye taaluma yake kuna shida gani kufananisha jambo na kile alichokisomea?

Kama huelewi "catalyst" uliza kwa waliosoma chemistry.
Wapi nilipojichanganya?
 
mhh kila kukicha Lugha ya Rais,kingereza,kingereza wanaojua Kingereza wapo kimya ninyi msiojua ndio kila kukicha hayo...
 
Afadhali hilo neno anaweza ku tamka

Kuna mkutano wa wakuu wa nchi za EAC alishindwa kutamka 'deliberation'

akaishia kucheka tu na kutabasam

that was embarrassment....
Huu ni upumbavu wa hali ya juu. Eti that was embarrassment. Wewe mwenyewe hujui Kiingereza. Msitake kujifanya mnajua lugha wakati hiyo lugha sio ya kwenu. Huu ni ujinga tu.
 
Kwangu hii mara ya pili sasa kumsikia mheshimiwa mtukufu rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akielezea maana ya neno 'catalyst'.

Mara ya kwanza ilikuwa ni pale Arusha kwenye mkutano wa jumuia ya Afrika Mashariki.

Sasa leo tena nimemsikia akielezea maana ya hilo neno wakati wa mkutano wake na rais Uhuru Kenyatta.

Angalia hiyo video hapo chini hususan dakika ya 7 na sekunde 53.



Huyu jamaa bana! Sijui hilo ndo neno alilofanikiwa kulikariri kiurahisi zaidi kwenye hiyo fani yake ya ukemia...

Kinda embarrassing....

Kiranga

Magufuli angeelewa na kukubali kweli maana ya dhana ya "catalyst" katika siasa, asingepiga marufuku mikutano ya vyama vya upinzani.

Kwa sababu mikutano ya vyama vya upinzani ni catalyst ya maendeleo nchini.
 
Jamani sio jambo jema kuwa tunamdhihaki mheshimiwa Rais kwa mambo ya kipuuzi kama haya
Huyu ni mkuu wa nchi
Mwenyewe ndio katengezeza hayo mazingira ya kuzihakiwa, siku zote heshima ya mtu haishushwi na mtu mwingine zaidi yako mwenyewe.

Kama yeye ni rais wa watanzania wote basi matendo yake yaonyeshe hivyo. Lakini inaonekana yeye ni rais wa CCM peke yake na kuzarau wapinzani kama vile ni takataka au wakimbizi.

Siku zote unavuna unachopanda.
"Ukipata mbegu ya chuki utavuna chuki"

we umeniibia kura baada ya kuona zako hazikutosha, halafu unataka nikupende kweli?
 
Soma nukuu yako hapa chini, uone jinsi unavyojichanganya. Hivi unajiona uko sawa kumpangia mtu cha kuzungumza?
Umesema najichanganya.

Nimekuuliza wapi nilipojichanganya, hunionyeshi!

Come on now!
 
Hadi huwa nashangaa! Kuna mijitu inajofanya mijuaji humu kumbe hamna kitu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila wakati mwingine kuna kukosea tu Mkuu.

Kukosea kitu haimaanishi haukijui.

Sema ujuaji mwingi ndiyo tatizo.
 
Back
Top Bottom