Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Now now now now, ndugu yangu Phillipo.

Taratibu. Tatatibu. Taratibu.

Sarcasm prevents revolutions. Sisi wengine hatupendi kuchinjana, kwa hiyo tukiona kitu hakitufai tuna haki ya kuwa sarcastic. Its a small price to pay for bad leadership.

Tatizo kubwa ni kwamba you have too much respect for authority. That is dangerous. Hiyo ni sababu moja kwa nini hatuendelei.

Turudi kwa Magufuli na marufuku yake.

Tatizo linalojitokeza hapo ni kuhukumu kosa ambalo hata halijatokea.

Ni kama uende Manzese kwa Mfuga Mbwa halafu uwakamate watoto wote uwafunge jela kwa kusema nyie mkikua kidogo ntakuwa Panya Road na kutuletea matatizo, kwa hiyo bira tuwafungikie mbali ili msije kutuletea matatizo baadaye.

Mimi Magufuli na serikali yake wangewaadabisha wapinzani wanaosema ovyo - wapo wapinzani kama hao- on a case by case basis, baada ya kusema ovyo, with hard evidence and justification kwamba wamesema ovyo, hata nisingekuwa na tatizo.

Kwa sasa ameqeka mtego wa panya unaokamata waliokusudiwa na wasiokusudiwa.

Hata mtu mwenye heshima zake anayetaka kufanya mikutano ya vyama vya upinzani ya kukosoa serikali kwa njia sahihi na ambayo inalindwa ma katiba ya nchi yetu, hawezi kufanya hivyo.

Magufuli kaziba uhuru huu.

Kama si udikteta huu ni nini?

JPM speech is the catalyst for this debate- supposedly.

Mkuu Kiranga, tatizo ni kwamba mimi wewe na wana JF wengi tulipiga sana kelele hapa juu ya serikali ya awamu ya nne kuhusu yale yaliyokuwa yakifanywa pamoja na ufisadi.

Sasa kaja raisi ambae anatekeleza mengi ya yale tuliyokuwa tukiyapigia kelele, halafu wanajitokeza watu walewale walokuwa wakimpigia kelele JK sasa wanambeza raisi JPM, ni jambo la aibu sana na tunaonekana ni wajinga.

Na yeye kama binadamu hata ungekuwa ni wewe unapata shock kwanza na baadae inabidi aweke sera na mipaka ili aweze kudhibiti hiyo tabia maana si tu watu wanakosoa bali wanakebehi, kutukana na kurudisha nyuma jitihada zake na wanaonekana wazi wanafanya hivyo kwa makusudi.

Kwahiyo sisi observers wengine tunaweza kusema kwamba upinzani kwa sasa hauna cha kusema kuhusu yale ambayo yote yako covered na raisi JPM na wanapoanza kwenda mitandaoni ama kubeza kwenye majukwaa yao au kuhisi wanafanya sarcasm or caricature inakuwa wanaoenekana wana ajenda ingine.

Mimi niliwaheshimu sana wapinzani kabla ya kumkaribisha Edward Lowasa lakini nilikuwa mfuatiliaji wa itikadi ya Dr Slaa.

Mlipomkaribisha Lowasa kwenye UKAWA ndipo mlipoharibu kila kitu maana sasa anawatuma watu (allegedly) wamchafue raisi JPM ama mitandaoni au kwenye media.

Maana ya neno Catalyst:

A substance that increases the rate of a chemical reaction without itself undergoing any permanent chemical change.

President Magufuli was talking about cementing the relationship between Kenya and Tanzania and by doing so this relationship would emphasise on building strong bilateral and economic ties and this relationship is the catalyst.

Tukirudi kwenye hiyo clip kuna watu wamebeza takwimu zake za uchumi na sasa inaletwa hii ya neno Catalyst.

CCM wenyewe wanaweza kufananishwa na kazi ya Catalyst kwamba mabadiliko yote ya mpaka kumfanya Lowasa aondoke mle wao bado wamempata raisi ambae ndiye bora na wao wanadunda hata kwa kuugulia khasa wale walotia nia mapema asubuhi.

Wakuu sasa tuanze kusifia yale mazuri anayofanya raisi JPM na kama unafanya utani ieleweke ni utani kwa kutoa angalizo maana bila hivyo mtu unaonekana unakejeli na kubeza.
 
Great thinkers discusses issues but less minded people always think about a single word and not ideas. Grow tobecome great thinker
An idea can rise from a single word .so don't ignore,words carry weight
 
Ndiyo, wewe ni shoga.

[qquote]Ushoga ni kumlalamikia raisi Magufuli kwa vitu vya kipuuzi puuzi kama hili lalamiko umelileta.
Punguzeni hizi tabia, zinawabomoa marinda yenu huku Magufuli status inazidi kupanda juu

Unaona jinsi ulivyo shoga?[/QUOTE]

Wewe utabisha na kugeuza tuhuma all day long.
Ila acheni huo ushenzi, discuss ideas, sio wanaume.
 
Kwa hiyo uchumi unakwenda ki catalyst siyo??? Baba ubaya at work
 
Ni katika dakika ya 7:53 anaanza kuongelea catalyst...mkemia, my foot! Kwa mwendo huu tunatakiwa tuzidi kuiombea nchi yetu kwa vile ni kama tupo gizani hatujui tunaelekea wapi!
Ndo mana anaogopa kwenda ulaya ,, anaogopa akienda kulisema tena hlo wanamuulza what do u min bwana magu
 
Binadam ni mzigo mzito Sana. Watanzania tunachekwa sna Kwa kumkejeli Rais wetu Kwa mambo ya hovyo kiasi hiki. Cjui unajickiaje kumdhalilisha mtu. Tulikuwa tunamsema JK sasa Yale tuliokuwa tunataka Jpm anayafanyia kazi, sasa tunaanza kumdhalilisha kuwa hajui kingereza jamani kutojua hicho kizungu c dhambi kwanza c lugha yetu. Kweli naanza kuamini upinzani umekwisha Tz kama tumeanza kukosoa lugha basi inaonyesha hakuna cha kumkosoa cha maana katika utendaji wake kazi, yupo sawa Kwa kazi zake, labda lugha tunajiaibisha sana, tunakosoa ujinga sasa.
 
Isiwe ni katika kila inapokosea ndipo istahili kusemwa, sauti hiyo ni matunda ya ubinadamu wetu.

Ikiwa kila anapokosea mtoto anachapwa bila ya kutengenezewa mazingira ya kuambiwa makosa yake positively, basi baba wa huyo mtoto is a damn fool.
Kwa nini kila anapokosea rais asisemwe kwamba kakosea?

Rais ni kiongozi wa nchi. Kazi yake ni serious. Hata ufuatiliani wa kazi yake unatakiwa kuwa serious.

Popote anapokosea halafu tukashindwa kusema, tunakosa nafasi ya kujifunza.

Inawezekana kuna ma rais wa kesho hapa wanajifunza.

January Makamba tulikuwa naye tunabishana alivyokuwa Minnesota na baadaye George Mason. Tumebadilishana mawazo sana tunamnanga Mkapa.

Sasa hivi kaenda kujiunga nao huko, natumaini anakumbuka tuliyoongea.

Na chances are hata hapa yupo. Kama vile ambavyo viongozi wengi wapo hapa.

Sasa kwa nini tuache nafasi hii ya kusema moja kwa moja mambo yanayotukera?
 
Isiwe ni katika kila inapokosea ndipo istahili kusemwa, sauti hiyo ni matunda ya ubinadamu wetu.

Ikiwa kila anapokosea mtoto anachapwa bila ya kutengenezewa mazingira ya kuambiwa makosa yake positively, basi baba wa huyo mtoto is a damn fool.

..vipi kuhusu kusifiwa?

..je hiyo sauti inatakiwa kusifiwa kila wakati?

..mnaposema Waafrika hatuna uwezo wa kuendana na demokrasia naona kama udhalilishaji wa aina fulani.

..waacheni wananchi wawe huru kutoa maoni yao.
 
JPM speech is the catalyst for this debate- supposedly.

Mkuu Kiranga, tatizo ni kwamba mimi wewe na wana JF wengi tulipiga sana kelele hapa juu ya serikali ya awamu ya nne kuhusu yale yaliyokuwa yakifanywa pamoja na ufisadi.

Sasa kaja raisi ambae anatekeleza mengi ya yale tuliyokuwa tukiyapigia kelele, halafu wanajitokeza watu walewale walokuwa wakimpigia kelele JK sasa wanambeza raisi JPM, ni jambo la aibu sana na tunaonekana ni wajinga.

Na yeye kama binadamu hata ungekuwa ni wewe unapata shock kwanza na baadae inabidi aweke sera na mipaka ili aweze kudhibiti hiyo tabia maana si tu watu wanakosoa bali wanakebehi, kutukana na kurudisha nyuma jitihada zake na wanaonekana wazi wanafanya hivyo kwa makusudi.

Kwahiyo sisi observers wengine tunaweza kusema kwamba upinzani kwa sasa hauna cha kusema kuhusu yale ambayo yote yako covered na raisi JPM na wanapoanza kwenda mitandaoni ama kubeza kwenye majukwaa yao au kuhisi wanafanya sarcasm or caricature inakuwa wanaoenekana wana ajenda ingine.

Mimi niliwaheshimu sana wapinzani kabla ya kumkaribisha Edward Lowasa lakini nilikuwa mfuatiliaji wa itikadi ya Dr Slaa.

Mlipomkaribisha Lowasa kwenye UKAWA ndipo mlipoharibu kila kitu maana sasa anawatuma watu (allegedly) wamchafue raisi JPM ama mitandaoni au kwenye media.

Maana ya neno Catalyst:

A substance that increases the rate of a chemical reaction without itself undergoing any permanent chemical change.

President Magufuli was talking about cementing the relationship between Kenya and Tanzania and by doing so this relationship would emphasise on building strong bilateral and economic ties and this relationship is the catalyst.

Tukirudi kwenye hiyo clip kuna watu wamebeza takwimu zake za uchumi na sasa inaletwa hii ya neno Catalyst.

CCM wenyewe wanaweza kufananishwa na kazi ya Catalyst kwamba mabadiliko yote ya mpaka kumfanya Lowasa aondoke mle wao bado wamempata raisi ambae ndiye bora na wao wanadunda hata kwa kuugulia khasa wale walotia nia mapema asubuhi.

Wakuu sasa tuanze kusifia yale mazuri anayofanya raisi JPM na kama unafanya utani ieleweke ni utani kwa kutoa angalizo maana bila hivyo mtu unaonekana unakejeli na kubeza.
The pursuit of the right balance is the curse of the intelligent.
 
Kwa nini kila anapokosea rais asisemwe kwamba kakosea?

Rais ni kiongozi wa nchi. Kazi yake ni serious. Hata ufuatiliani wa kazi yake unatakiwa kuwa serious.

Popote anapokosea halafu yukashindwa kusema, tunakosa nafasi ya kunifunza.

Inawwzekana kina ma rais wa jesho hapa wanajifunza.

January Makamba tulikuwa naye Nyenzi.com tunabishana alivyokuwa Minneaota na baadaye George Mason. Tumebadilishana mawazo sana tunamnanga Mkapa.

Sasa hivi kaenda kujiunga nao huko natumaini anakumbuka tuliyoongea.

Na chances are hata hapa yupo.

Kama vike ambavyo viongozi wengi wapo hapa.

Sasa kwa nini tuache nafasi hii ya kusema moja kwa moja mambo yanayotuketa?
Hakuna anayejifunza halafu wakati huo huo akatumia sarcastic words katika kuwakilisha maoni yake.

Huu uzi umeandikwa kwa nia ya zile kejeli za kipuuzi ambazo watoto wa mijini wa kitanzania huwa wanazo sana wanapokuwa kwenye maongezi yao ya faragha.

But it can't help you and me. Yule ambaye kwa akili yako unaweza kudhani ni mshamba, anaweza kuwa mjanja kuliko wewe hundred times. Anaweza kuwa na elimu kubwa kuliko wewe, najaribu kukufikishia ujumbe ambao kama sio leo au kesho utakuja kuelewa maana yake kwa undani.

Hakuna precedent yoyote katika uzi huu, zaidi ya ule ule ujinga wa kimjini, tabia za dharau za watoto waliokuzwa Dar halafu wakaenda nje ya nchi. Watoto waliosoma shule za sekondari za Dar, waliokuwa wanakula mboga saba kwa mlo mmoja, halafu wakaenda nje ya nchi wakiwa na akili zile zile za kujiona wao as if they are capable of doing the best once chance is given to them.
 
The pursuit of the right balance is the curse of the intelligent.

If someone describe himself as intelligent, is clearly an arrogant jerk.

If you downplay your intelligence, you will find yourself hanging out with people who are terribly boring. You need to find some way to get both your sense of self and your fear of arrogance in check.

All without turning people off before you even try to be friends.

That's why there is emotional intelligence and IQ and these two are completely different.

Many people mistook the former by his disguised handshake only to cling on it and ignored the latter, and now the end justify the means.

Now we have JPM, we've got to get used to him.
 
..vipi kuhusu kusifiwa?

..je hiyo sauti inatakiwa kusifiwa kila wakati?

..mnaposema Waafrika hatuna uwezo wa kuendana na demokrasia naona kama udhalilishaji wa aina fulani.

..waacheni wananchi wawe huru kutoa maoni yao.
Sio suala la kusifiwa kila wakati.

Usimdharau mtu ambaye asili yake na ya kwako ni moja.

Hakuna mtu anayemkataza mwingine kutoa maoni, inahitajika akili inayojenga kwenye utoaji wa maoni, ili kuepuka ule ukweli kwamba jamii huweza kudanganywa na kuingia kwenye mtego wa kufanya mambo ya kipuuzi kupitia heshima hiyo hiyo ya maoni ya kila mtu.

Demokrasia ni somo gumu kwetu. Ingawa baada ya miaka kadhaa litakuja kueleweka vizuri.
 
Hakuna anayejifunza halafu wakati huo huo akatumia sarcastic words katika kuwakilisha maoni yake.

Huu uzi umeandikwa kwa nia ya zile kejeli za kipuuzi ambazo watoto wa mijini wa kitanzania huwa wanazo sana wanapokuwa kwenye maongezi yao ya faragha.

But it can't help you and me. Yule ambaye kwa akili yako unaweza kudhani ni mshamba, anaweza kuwa mjanja kuliko wewe hundred times. Anaweza kuwa na elimu kubwa kuliko wewe, najaribu kukufikishia ujumbe ambao kama sio leo au kesho utakuja kuelewa maana yake kwa undani.

Hakuna precedent yoyote katika uzi huu, zaidi ya ule ule ujinga wa kimjini, tabia za dharau za watoto waliokuzwa Dar halafu wakaenda nje ya nchi. Watoto waliosoma shule za sekondari za Dar, waliokuwa wanakula mboga saba kwa mlo mmoja, halafu wakaenda nje ya nchi wakiwa na akili zile zile za kujiona wao as if they are capable of doing the best once chance is given to them.
Wewe una values tofauti na mimi. I bet hata kuangalia a comedy show kwenu ni anathema.

Oh, wait. Do you even know what a comedy show is?
 
If someone describe himself as intelligent, is clearly an arrogant jerk.

If you downplay your intelligence, you will find yourself hanging out with people who are terribly boring. You need to find some way to get both your sense of self and your fear of arrogance in check.

All without turning people off before you even try to be friends.

That's why there is emotional intelligence and IQ and these two are completely different.

Many people mistook the former by his disguised handshake only to cling on it and ignored the latter, now the end justify the means.

Now we have JPM, we've got to get used to him.
Thanks my brother, you have tried your best to educate millions of Tanzanians, wherever they live.

The guy can't hide his arrogance, he thinks as if all Tanzanians where raised under the same roof.

And he belongs to the group of fellows who spent most of their lifetimes in abroad, they are good at condemnation, good at picking out what is wrong, they don't bring up on the table something positive to their own kind!!.

One wise man said , "if you can't have a positive opinion on anything then you should keep quiet".
 
If someone describe himself as intelligent, is clearly an arrogant jerk.

If you downplay your intelligence, you will find yourself hanging out with people who are terribly boring. You need to find some way to get both your sense of self and your fear of arrogance in check.

All without turning people off before you even try to be friends.

That's why there is emotional intelligence and IQ and these two are completely different.

Many people mistook the former by his disguised handshake only to cling on it and ignored the latter, and now the end justify the means.

Now we have JPM, we've got to get used to him.
I am far from describing myself as intelligent, I merely aspire to intelligence.

There is a thread here that someone asked to mention people with high IQ, I was mentioned. I shot that theory down vehemently. I went on to shoot down the very concept of IQ.

But I do aspire to be intelligent. Intelligence inspire me, hence the reason I described the hard tendency of intelligent people to reach a carefully balanced solution.

This was in context with the binary choice of extreme laissez-faire on the one hand (Kikwete) or extreme Draconian on the other (Magufuli). People do not understand how could one criticize Kikwete for being laissez-faire and then ending.

Just because we rejected one extreme of the leadership spectrum, it doesn't mean the other extreme is good.

Here is the range of electromagnetic waves spectrum.

Just because we can't see Gamma Rays unaided, it does not mean we have to resort to the other extreme of long waves.

There is a happy medium in the middle that we need to see, visible light.

300px-Electromagnetic-Spectrum.svg.png
 
Thanks my brother, you have tried your best to educate millions of Tanzanians, wherever they live.

The guy can't hide his arrogance, he thinks as if all Tanzanians where raised under the same roof.

And he belongs to the group of fellows who spent most of their lifetimes in abroad, they are good at condemnation, good at picking out what is wrong, they don't bring up on the table something positive to their own kind!!.

One wise man said , "if you can't have a positive opinion on anything then you should keep quiet".
I have written plenty about what should be done.Even in this thread.

If you are not seeing that, it must be because your cherleading is blinding your sight.
 
Thanks my brother, you have tried your best to educate millions of Tanzanians, wherever they live.

The guy can't hide his arrogance, he thinks as if all Tanzanians where raised under the same roof.

And he belongs to the group of fellows who spent most of their lifetimes in abroad, they are good at condemnation, good at picking out what is wrong, they don't bring up on the table something positive to their own kind!!.

One wise man said , "if you can't have a positive opinion on anything then you should keep quiet".

I have been in many places and I learned a lot when I used to hear Tanzanians in Diaspora complaining about their country and the fourth phase government and that state it had of economic mismanagement, graft and corruption.

They used to joke even when JK was visiting London or DC that he was not going to say anything productive in their meetings.

There was active CCM and Chadema branches in Europe and America and all these had one goal- to go home one day to grab opportunities and utilise them.

The surprising thing now, we have new president and no one is making the same rhetoric statements or organising meeting of even elections.

This is the time now, the time has come for all Diaspora wherever they are to join forces and show something.

Diaspora used to have a desk at PMO under Suzan and co, is this helpdesk still there?

The revolving doors of this government are not only for foreigners but for Tanzanians as well especially in the Diaspora.
 
Back
Top Bottom