Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Rais Magufuli na maana ya neno 'catalyst'

Kwangu hii mara ya pili sasa kumsikia mheshimiwa mtukufu rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akielezea maana ya neno 'catalyst'.

Mara ya kwanza ilikuwa ni pale Arusha kwenye mkutano wa jumuia ya Afrika Mashariki.

Sasa leo tena nimemsikia akielezea maana ya hilo neno wakati wa mkutano wake na rais Uhuru Kenyatta.

Angalia hiyo video hapo chini hususan dakika ya 7 na sekunde 53.



Huyu jamaa bana! Sijui hilo ndo neno alilofanikiwa kulikariri kiurahisi zaidi kwenye hiyo fani yake ya ukemia...

Kinda embarrassing....

Kiranga

Afadhali anaejua hata neno catalyst kuliko uliye mpropokaji tu kwa chuki binafsi.
 
Sikutegemea mtu mzima kama wew kuamua kuchambua hotuba yake na kuja na neno maja ambalo la kipuuzi na linapaswa kufikirika kwa watu wapuuzi ukaamua kutengeneza uzi kuleta kwa great thinker hii inaonyesha umeshaanza kuchuja kielimu na kiakiri pole sana
 
duh mwacheni magu jaman, wakenya wengi wanafurahia ujio wake sembuse nyie! ebo..
 
Si haba form four waliosikiza leo kwenye chemistry wameshapata jibu la swali moja
 
Jamani sio jambo jema kuwa tunamdhihaki mheshimiwa Rais kwa mambo ya kipuuzi kama haya
Huyu ni mkuu wa nchi

Nonsense, mkuu wa nchi akikaa uchi tushangilie kuwa kavaa nguo nzuri kuliko zote duniani. Laza tumsetiri kuwa Mheshimiwa hujavaa nguo
 
Noun: catalyst
(pl. catalysts)
|ka‑tu‑list|
1. (chemistry) a substance that initiates or accelerates a chemical reaction without itself being affected
=accelerator

anticatalyst

~activator

biocatalyst, enzyme, platinum black
2. Something that causes an important event to happen
the invasion acted as a catalyst to unite the country
~causal agency, causal agent, cause
Derived
Noun: anticatalyst
Verb: catalyze
This definition is from WordWeb
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Great thinkers discusses issues but less minded people always think about a single word and not ideas. Grow tobecome great thinker

Nembo ya taifa akitia aibu taifa hata ka herufi moja lazima irekebishwa
 
Afadhali hilo neno anaweza ku tamka

Kuna mkutano wa wakuu wa nchi za EAC alishindwa kutamka 'deliberation'

akaishia kucheka tu na kutabasam

that was embarrassment....
Sasa boss kama alishindwa kulitamka hilo neno akaishia kucheka, ww ulijuaje!?
Au ulikuwa na speech yake tayari!
 
Kwangu hii mara ya pili sasa kumsikia mheshimiwa mtukufu rais wetu Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akielezea maana ya neno 'catalyst'.

Mara ya kwanza ilikuwa ni pale Arusha kwenye mkutano wa jumuia ya Afrika Mashariki.

Sasa leo tena nimemsikia akielezea maana ya hilo neno wakati wa mkutano wake na rais Uhuru Kenyatta.

Angalia hiyo video hapo chini hususan dakika ya 7 na sekunde 53.



Huyu jamaa bana! Sijui hilo ndo neno alilofanikiwa kulikariri kiurahisi zaidi kwenye hiyo fani yake ya ukemia...

Kinda embarrassing....

Kiranga

Ficha chuki yako ili busara itawale maishani mwako wewe mwenyewe tukianza kukuguatilia jino kwa jino unafikili tutakukuta umepatia na umekosea maneno mangapi? Vitu vingine vidogo sana kwenye maisha ni bora kuachana navyo tu
 
Kuna komediani mmoja alimchana Alikiba akiwa mkalimani wa mwanamuziki mmoja Maarufu aliyetembelea nchi hiyo...ingawa ilinikera ila nililazimika kucheka!
======
Nikirudi kwenye mada. Hao waache walivyo, kikubwa sisi tuendelee na mipango yetu ya kuhakikisha Tanzania ya Viwanda vya ukweli inapatikana.
Sasa na wewe utakerekaje huku unacheka?
 
Sasa boss kama alishindwa kulitamka hilo neno akaishia kucheka, ww ulijuaje!?
Au ulikuwa na speech yake tayari!
Hapa umefikiri!

Aidha Mh. alilitamka kwa ufasaha ama si neno alililotaka kulitamka....Tusimlishe maneno cc msinidrive.
 
Back
Top Bottom