C&P
::Wazilankende::[emoji85][emoji85]
Somo la leo la historia ni Wazilankende!
Juzi juzi Mheshimiwa mkulu alipopitia Bukoba pamoja na masimango na kejeli zote vile vile alijinasibu kwamba yeye ni Muyango yaani "abayango" hujiita Wazilankende.
Abayango aka Wazilankende ni moja ya koo kubwa kanda ya ziwa, kiutamaduni Wazilankende ni ukoo wenye kuheshimu sana enkende (kwa kiswahili enkende ni Ngedere) - hawa Wazilankende wanawachukulia ngedere kama ni ndugu zao au sehemu ya ukoo wao kwa hiyo Muyango (Mzilankende) hata akiwaona ngedere njiani inatakiwa awazawadie ndizi, akikuta ngedere amekufa inabidi alie au anaumwa inabidi amsaidie, hao ndo Wazilankende .
Je Wazilankende wanapatikana katika sehemu gani?
Ukweli ni kwamba kama ukisoma historia utakuta koo hizi zinapatikana katika maeneo ya nchi za Uganda (Banyankole, Bachiga, Batoro, Baganda, and Banyoro), RWANDA, Burundi na Tanzania (Wahaya, Wanyambo, Waha, WASUBI, Wazinza, Wakerewe na Waangaza).
Lakini ukweli ni kwamba hakuna MSUKUMA yoyote anaweza kuitwa Muyango Mzilankende, hicho kitu Usukumani hakipo.
Huko nyuma niliwahi kuandika makala ifatayo (copy and paste[emoji116])
::Uwakiki wa asili? - Kumbe Mungai ni Mkenya? ...[emoji85][emoji85][emoji481][emoji481]
"Tunae Joseph Mungai ambaye asili yake ni huku (Kenya) lakini kule kwetu alipewa nafasi nyeti, akawa mbunge hadi Waziri. Tena amewahi kuwa hadi Waziri wa Elimu" - John Pombe Magufuli, Kenya
Haya maneno ya Mh. Rais yamenistua....
Hivi kama Mungai asili yake ni Kenya, lakini amezaliwa Mufindi na yeye ana kuwa Mkenya? ...Je na yule mwenye asili ya Rwanda aliyezaliwa Biharamulo, anakuwa Mnyarwanda? Au yule Mwenye asili ya Kihindi lakini alizaliwa Kisutu nae ni Muhindi?
Where do we draw the line?
Je tunaulizana asili na makabila tunataka kutambika? Kama alivyojisemeaga baba wa Taifa.
Yeye alikuwa Mzanaki na hakuwahi kujita Mkurya, Mkwere alikuwa 'very proud' na hakujifanya Mzaramo, na yule wa Masasi haku-'pretend' kuwa Mmakonde.
Sasa ni vipi leo Mzinza au Msubi analazimishia sana Usukuma? Kulikoni?
Msema kweli ni mpenzi wa 'mungu' ...
Anyway doesn't real matter sio wakati wa kutambika huu na wote ni Watanza....Giza oops Nia.
[HASHTAG]#Mzilankende[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PombeSioChai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Twafa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#UsirudieKosa2020[/HASHTAG]