Alfred Shija
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 130
- 80
Yaani watu ving'ang'anizi kwelikweli.
Kwenye hotuba yake alisema yeye ni muyango mzilankende, halafu watu wanalazimisha awe msukuma, msubi au mzinza.
MNA matatizo sana.
Kwenye hotuba yake alisema yeye ni muyango mzilankende, halafu watu wanalazimisha awe msukuma, msubi au mzinza.
MNA matatizo sana.