Jumbes
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 245
- 372
Magufuli siyo Mtanzania yule, ni Mhutu! Acheni mbwembwe na kupotosha watu humu kwa maslahi ya kisiasa. Mtu aliyezaliwa TZ hawezi kuwachanganya watu wa mikoa miwili wakazua mjadala mpana juu ya Ukoo na Kabila lake. Mjadala huu moja kwa moja ni ushahidi tosha kuwa Magufuli siyo Raia wa TZ, Kwa ujumla, CCM na TISS walituletea balaa Ikulu.
Mwenendo na matendo yake tu unatosha kukujengea mashaka ya Uraia wake! Uliona wapi Mtu asiyependa watu wa Taifa lake mwenyewe!? Yaani Rais anakuwa bize kushirikiana na Rais wa Nchi nyingine kuhujumu Nchi yale mwenyewe!!? Rais anapanga mikakati ya kigaidi ya kuua kiholela wananch wa taifa lake mwenyewe!!? Rais anakuwa hana huruma na mali za Wananch wa Taifa lake mwenyewe!? Rais anakuwa na wivu wa mafanikio ya wananch wa taifa lake mwenyewe!? Rais anakuwa mwepesi kudharau na kukejeri wananchi wa Taifa lake mwenyewe!? Yaani Rais haoni aibu wala Dhamira haimsuti kuifanya Nchi yake mwenyewe kudharaurika kimataifa kwa kukiuka misingi ya haki za Binadamu, uliona wapi!? Huyu siyo Raia ni mamruki, tumekwisha!
Mwenendo na matendo yake tu unatosha kukujengea mashaka ya Uraia wake! Uliona wapi Mtu asiyependa watu wa Taifa lake mwenyewe!? Yaani Rais anakuwa bize kushirikiana na Rais wa Nchi nyingine kuhujumu Nchi yale mwenyewe!!? Rais anapanga mikakati ya kigaidi ya kuua kiholela wananch wa taifa lake mwenyewe!!? Rais anakuwa hana huruma na mali za Wananch wa Taifa lake mwenyewe!? Rais anakuwa na wivu wa mafanikio ya wananch wa taifa lake mwenyewe!? Rais anakuwa mwepesi kudharau na kukejeri wananchi wa Taifa lake mwenyewe!? Yaani Rais haoni aibu wala Dhamira haimsuti kuifanya Nchi yake mwenyewe kudharaurika kimataifa kwa kukiuka misingi ya haki za Binadamu, uliona wapi!? Huyu siyo Raia ni mamruki, tumekwisha!