wingatereza
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,334
- 1,719
Khaa dotcom naye yumoMbna km ctor yk na mswli yk ni v2 2 tfaut?
Khaa dotcom naye yumoMbna km ctor yk na mswli yk ni v2 2 tfaut?
Siko adopted na ndivyo nilivyo. Baba ana asili mchanganiko wa makabila na pia mama ana mchanganyio wa makabila mengi. Ukija kwa mke wangu pia ni mchanganyiko wa makabila. Tulioko mijini ni adimu sana kuwapata watu wenye asili ya kabila moja.kama una makabila yote hayo tukueleweje sasa. babako ni kabila gani na mamako kabila gani? hao wengine wanatoka wapi sasa hadi makabila yanazidi mawili? au you are adopted?
Acha kujitoa akili haitatokea nchii atokee rais mhayaNi Muhaya na si Msukuma kama wasukuma wanavyofikiri!
Punguza nyodousiaribu makabila ya watu bana
Mbna km ctor yk na mswli yk ni v2 2 tfaut?
Tuko wengi aisee ila mimi ni wa missenyi kagera sio kigomaKweli kaka hata mimi ni mjiji, kilichoongelewa hapo na huyo bwana kuhusu Wajiji Wazilankende kinakua sahihi.
tema mate chiniNi Muhaya na si Msukuma kama wasukuma wanavyofikiri!
Kwanza mkuu mzilankende sio kabila au ukoo. ..Ukija mfano kwa Wahaya kama kabila wana koo na koo hizo zinautamburisho wake ambao mara nyingi ni wanyama,ndege,wadudu au mema yaani mti ambazo uitwa Omuzilo...Mfano Abayango na Abahinda ambao kwa kiasi kikubwa ndio koo za kifalme wao utamburisho wao ni huyo mnyama ngedere...Nkende,kuna Abatundu wao utamburisho wao ni chui, Abajubu wao utamburisho wao ni Kiboko,Abalwani nk...sasa huyu anayesema ni kabila la mzilankende sijui Muyango wa kisukuma basi nae atakua ameanzisha labda nanili. ...Au kwakua nchi nyingi zinaongozwa na wasio wazawa
Hata mimi nawasi wasi maana hizi hotuba ni vigumu kuamini kama zinatoka mdomoni mwa msomi wa ngazi ya phdMkuu unahisi hiyo shida ya akili imerithishwa?
100%Subiri waje....kwa faida ya wengi tupate kujua historia yake niko interested na mental case kwenye ukoo!!!! Kuna kitu hapo!
Iti kanti bi!Ni Mzinza
Usicheke inahuzunisha hiyoHahahaaa
Tu deal na mental case. Hapo ndipo penye shida!Umejichanganya. Ukoo hauwezi kuwa kabila. Kwa hiyo Muyango ni ukoo na Msubi ni kabila. Katika wasubi kuna koo zinazopatikana kote mkoa wa Kagera na Uganda kwa Wanyankole. Mfano Basita, Bayango, Basindi, Bagara, Bahutu, etc. Kumbuka Msubi akiongea Mhaya na Mnyambo watamwelewa. Hii ni pamoja na Wazinza na hata Bakerewe unaelewa lugha yao. Kama labda babu yake alikuja na kufia pale si ajabu labda alikuja kama mpagazi. Kumbuka hawa Wasubi na Wazinza ni jamii ya Watsu au Bahima na si ajabu hata Wahutu kwa hiyo kama alikuja kama mpagazi wa kihutu basi ndo watoto wake wakatawanyikia Biharamulo
mkuu taratibu una m7Hata mimi nawasi wasi maana hizi hotuba ni vigumu kuamini kama zinatoka mdomoni mwa msomi wa ngazi ya phd