USHAURI: Familia ya Hayati Magufuli iende Mahakamani kudai fidia ya picha iliyotumika katika kava kukitangaza kitabu cha 'I Am The State'

MWANAHARAKATI MWEMA

Senior Member
Dec 16, 2022
192
270
1682946090106.png

state.png

Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.

Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.

Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.

Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.

--
Pia soma
- From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)
 
Azidi kupumzika kwa amani.
Tuendelee kuvumila mazuri na mabaya yake yakiwekwa wazi , itachukua muda kidogo kupotea kwenye fikra za watu wengi iwe kwa wema ama ubaya. Ni kwa sababu ni kiongozi wa kipekee kuwahi kuwa kwenye nchi yetu, athari zake zitaendelea kuwa gumzo pengine itagharimu kizazi.

Kwangu mimi alikuwa kiongozi bora sana kwa nyakati zetu hizi na pengine zijazo.
 
Kwanza kabisa namshukuru' muumba Kwa kuniweka hai mpaka Leo ninapofanikiwa kuwaona wanaochukia ukabila wa magufuli lakini wao kupitia chuki zao wakiungana Kabila moja na kutunga kitabu kinachozungumzia upande mmoja wa shilingi wa aliyoyatenda wanayemjadili.


Nikienda kwenye mada moja Kwa moja Ni kwamba tumeshuhudia wazilankende walioungana wakizindua kitabu kilichopewa Jina la 'IAM THE STATE'
ambacho Kwa wazi kabisa walioshiriki kukitunga wanajitambulisha kama wanahabari.

Ndani ya kitabu hicho kinachoonesha wazi kukosa weledi wa uandishi wa habari Kwa kuamua Kwa makusudi kutaka kuharibu kabisa legancy ya JPM na kukosa balance ya kuwauliza wenye nchi ambao ni wananchi Ni kiashiria cha ubabaishaji hasa Kwa Sababu wananchi walipaswa wapewe nafasi.


Kwanini nasema waandishi wanatakiwa wapelekwe mahakani Ni Kwa Sababu kitabu hicho kimetungwa si Kwa faida ya watanzania wote bali ni Kwa wale tu walioguswa Kwa Namna moja au nyingine kutokana na utekelezaji wa Sheria na kulinda maslai ya nchi.

Kitabu hiki kimejaa chuki za wazi wazi kabisa, hivi unawezaje kumzungumzia mtu Kwa mabaya tu alafu useme unalikomboa taifa, ukitaka kumjadili mtu mfanyanye kama unapika ugali ili kila upande ujifunze kupitia mazuri na mabaya yake.


Ombi Kwa familia ya magufuli Kwa niaba ya wananchi wengi tunaoamini kupitia utawala wa maliza Kero papo hapo ambao rais wetu kipenzi walio wengi tunaoamini Kwa vitendo Ni KWAMBA WALIOTUMIA PICHA YA MAGUFULI KUTANGAZA KITABU CHAO WAPELEKWE MAHAKAMANI.

Mwisho japo nilitamani niendelee kuna mambo mengi yamefanywa na Marais waliopita, yapo mabaya na mazuri lakini hakujawahi kutungwa kitabu cha kumlenga mtu moja Kwa moja lakini hawa wazilankende kisa tetemeko wanadhani itakuwa rahisi kufuta legancy ya jiwe JPM ilihali vitu alivyovifanya bado vipo na vitaishi milele, MAGUFULI BADO YUPO MIOYONI MWETU.
Magufuli ni Mali ya umma
 
Ukishakuwa Rais MTU yeyote anaweza kuandika kitabu chochote ilimradi havunji sheria na familia ya Rais isidai chochote kama fidia.

Rais ni Mali ya umma.
Ni kama uandike kitabu cha mlima Kilimanjaro.

Ingawaje haifai kuandika vitu vyenye lengo la kuangusha na kulibomoa taifa.

Kuhusu JPM anamazuri yake na Mabaya yake. Kama kuna mabaya yake yaandikwe ili kizazi kingine kijifunze ilimradi asisingiziwe.
Na watakaoandika mazuri waandike ili kizazi kijacho kijifunze, ilimradi wasimuongezee sifa ambazo hakufanya.

Kama hautaki kuandikwa na watu basi usiwe public figure hasa Kwa level ya urais
 
Back
Top Bottom