Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,707
- 3,041
Awe nini, sisi haituhusu, si tunajua ni Mtanzania....
Hawa jamaa wa pande hizo ni wakabila sana. Wanafikiria hoja za ukabila zitamuondoa Rais aliye madarakani. Haiwezekani wajipange upya.
Nafikiria hoja ya kujipendelea Chato inaweza kuwa kubwa kuliko hii ya mtu kujifanya yeye ndio mtanzania halisi zaidi.