Hivi nani anatudangaya kuwa kuongoza nchi ni kazi ngumu? Kuongoza nchi kama kuna ugumu watu wangenawiri kiasi hiko kabla hawajaupata urais? Wangeng'ang'ania madaraka waongeze miaka ya kukaa Ikulu?Nyie ndo wanafiki mliomzunguka Magufuli, mnamdanganya ili apotee, kisha mje kukaa pembeni, yeye ni nani hata asikosolewe?
Unataka nimsifu tu amekuwa Mungu? Kuongoza nchi Siyo kazi ngumu Kama hekima inatumika lakini Kama unaongoza kimabavu ndo utaona ugumu...
Acha kutumia umbumbumbu kuchangia mada zangu, unadai namchukia Magufuli, kwani ni lazima nimpende?
Kumkosoa mtu ni kumchukia?
Nyie wanafiki ndo mnamchukia Sana Magufuli, siku yakimkuta ya kumkuta mtamkimbia wote, wanafiki wakubwa nyie
Wanafki kama hawa Mkuu wapuuzie tu.