Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Hii anajua maana ya kujitoa muhanga?
Inawezekana sasa hivi risk imepungua baada ya kutoka ofisini.Kumbuka hata rais akitoka madarakani ulinzi unapunguzwa.Hapo alikuwa anaringa kwa kuwa alikuwa na ufadhili wa serikali. Tujiulize, je hivi ssa anayafanya hayo?
Edward Hosea alikuwa hali chakula chochote ambacho hajaenda yeye mwenyewe kununua Sokoni.mf Nyama lazima anunue Mwenyewe hata akinunua Dereva wake hali.
Labda kilipikwa Magu kikasafirishwa kwenda Dar, hapa TZ kwa raia namba 1 kila kitu kinawezekana.siku ile mke wake kaja msibani MAGU ndo kusema rais hakula siku zile
Mmmh, ila iwapo ni kwa sababu za kiusalama basi acha tu abebe.Anabeba kwenye hotpot.
Maisha ya namna hiyo ni hatari. Mwishowe atataka avute hewa aliyoifanyia filterig kwanza.Edward Hosea alikuwa hali chakula chochote ambacho hajaenda yeye mwenyewe kununua Sokoni.mf Nyama lazima anunue Mwenyewe hata akinunua Dereva wake hali.
Atakimbia BBC na CNN hadi lini?Hiyo ni BBC swahili