Hii tabia sio nzuri. Itafika wakati hata huyo ngombe atafuga mwenyewe, nyanya, na vitunguu atalima mwenyewe. Kwa ujumla lazima tujenge tabia ya kuaminiana, isije ikafika mahali hata ukialikwa huli chakula kwa hofu ya kuuawa. Hatujafika huko ila kuna watu wanalazimisha tufike huko!Edward Hosea alikuwa hali chakula chochote ambacho hajaenda yeye mwenyewe kununua Sokoni.mf Nyama lazima anunue Mwenyewe hata akinunua Dereva wake hali.
Edward Hosea alikuwa hali chakula chochote ambacho hajaenda yeye mwenyewe kununua Sokoni.mf Nyama lazima anunue Mwenyewe hata akinunua Dereva wake hali.
Hii taarifa yawezekana haina uhalisia. Hivi wakati ule alipokuwa Waziri wa Ujenzi mkewe alikuwa anaacha kufundisha anakwenda mpikia mumewe awapo Bungeni au ziarani? Hizi taarifa zinaweza kuleta hisia za kuanza kuwindana.Misosi ya kustukiza huwa haina madhara.
Changamoto inaweza tokea iwapo mama atakuwa Ruvuma na mkuu yupo Mwanza, I mean wakiwa ziara toauti.
Sasa hivi yupo wapi huyo?Edward Hosea alikuwa hali chakula chochote ambacho hajaenda yeye mwenyewe kununua Sokoni.mf Nyama lazima anunue Mwenyewe hata akinunua Dereva wake hali.
Hapo alikuwa anaringa kwa kuwa alikuwa na ufadhili wa serikali. Tujiulize, je hivi ssa anayafanya hayo?Hivi vyeo vingine nuksi!baba zima una enda kununua nazi,nyanya,vitunguu
Mkuu nisaidie sijapata mwangaMwanzoni nilipo iona hii siredi ni kajiuliza ujumbe gani uko hapa?
Kidogo kidogo picha inajileta kuna watu.
Anabeba kwenye hotpot.Misosi ya kustukiza huwa haina madhara.
Changamoto inaweza tokea iwapo mama atakuwa Ruvuma na mkuu yupo Mwanza, I mean wakiwa ziara toauti.