Luno G
JF-Expert Member
- Sep 22, 2012
- 2,549
- 1,842
Ahsante... Pengine Mama Janeth ndie mmiliki wa ule mgahawaPale airport mwanza aliyepika kile chakula alikuwa nani?
Ahsante... Pengine Mama Janeth ndie mmiliki wa ule mgahawaPale airport mwanza aliyepika kile chakula alikuwa nani?
Mkuu nisaidie sijapata mwanga
Nangoja waje wakujibu hili swali . Im sure hawana majibu watatoa mimacho tuPale airport mwanza aliyepika kile chakula alikuwa nani?
Acheni propaganda,,,,mxiuuuu!!Baada ya kutambuliwa kama mtu mwenye msimamo mkali na asiyependa dhihaka, ambaye huwafuta watu hadharani, huenda sasa Rais wa Tanzania John Magufuli ana maadui wengi.
Sasa akiwa ikulu na kama njia ya kuchukua tahadhari, inaripotiwa kuwa Magufuli hula chakula kilichopikwa tu na mke wake.
Kulingana na gazeti la Financial Times ni kwamba hili limedhihirika kutoka na upinzani anaokumbana nao. Lakini hilo halijathibitishwa wala gazeti la Financial Times halijasema ni jinsi gani walipata uvumi huo.
Chanzo: BBC Swahili
Anaogopa kivuli chake?Meaning kwa sasa anakula chakula kilichopikwa na tu na mke wake. Sasa mambo ya march au ferb huwezi fananisha na june na hapa wanamaanisha ikulu mzee
Walichukua chakula chao kutoka nyumbani (ikulu) na kuviweka katika vibakuli zenye mifuniko.Nangoja waje wakujibu hili swali . Im sure hawana majibu watatoa mimacho tu
Hahahaaaa we ni genious!!Pale airport mwanza aliyepika kile chakula alikuwa nani?
Hiyo ni BBC swahiliBBC wamejuaje maana anawaogopa BBC kwa kizungu hajui kujibu maswali!!!