johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,977
Rais Magufuli ameitaka TRA kuacha kuwabambikia kodi wafanyabiashara na badala yake watoe makadirio ya haki.
Rais Magufuli amesema tabia ya kubambika kodi inawafanya wafanyabiashara washindwe kulipa na kutafuta njia za kukwepa kabisa kulipa.
Rais Magufuli amesema baadhi ya watumishi wa TRA wamekuwa na tabia ya kutoa makadirio makubwa na baadae kuomba wapewe rushwa ili wayapunguze.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amesema tabia ya kubambika kodi inawafanya wafanyabiashara washindwe kulipa na kutafuta njia za kukwepa kabisa kulipa.
Rais Magufuli amesema baadhi ya watumishi wa TRA wamekuwa na tabia ya kutoa makadirio makubwa na baadae kuomba wapewe rushwa ili wayapunguze.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!