Uwanja wa ndege Geita upo sehemu gani?Amka wewe. Kwa nini hakukataa pendekezo la kujengwa uwanja wa ndege Chatto wakati Geita uwanja upo?
Kwanini hakukataa kuitwa hifadhi Burigi Chato?
Kwanini hakukataa ujenzi wa TRA Chatto? CRDB Chato?
Huu ni mwaka wa uchaguzi bwashee watu watavaa ngozi zote za kondoo wakati ndani ni Chui.
Huyo Mkurugenzi wa Takukuru kafeli kwenye kushindwa kutengeneza kesi dhidi ya Chadema basi.
Hakuna lolote hapo
Kwani kulikuwa na jengo la ofisi ya Takukuru Chato before??? Hakusikia utetezi wa Mkurugenzi wa Takukuru Jana???Kwan hivyo vitu vilikuwepo Chato mwanzoni?
Hukuona bungeni walipitisha ujenzi wa uwanja wa ndege geita?? Au walikuwa wajinga wabunge???Uwanja wa ndege Geita upo sehemu gani?
Kulikuwa na ofisi tayari.Kwani kulikuwa na jengo la ofisi ya Takukuru Chato before??? Hakusikia utetezi wa Mkurugenzi wa Takukuru Jana???
Sikiliza vizuri maelezo ya Mkurugenzi wa Takukuru jana tena Brigedia JeneraliKulikuwa na ofisi tayari.
It's obvious. Ofisi ya TAKUKURU, tena Chato!! Ulitarajia asemeje?Wakati unafungua Jengo la Tume ya uchaguzi jana, katika hotuba uliyotoa ulinifurahisha sana ulipowashushua watendaji wako, ambao wamepanga kwenda kujenga ofisi ya TAKUKURU huko Chato ambako tayari wanayo hiyo ofisi, ambapo kama ulivyoeleza Mheshimiwa Rais kuwa hao watendaji wako wanafanya hivyo kwa kujipendekeza kwako, jambo ulilolikemea vikali na kusema wazi kuwa halikufurahishi.
Imezoeleka kwa Watanzania wengi kuwa wanapenda mno tabia ya hiyo ya kujipendekeza kwa waheshimiwa wenye nafasi kubwa za kisiasa na wale matajiri na kuamini kuwa kwa kufanya hivyo ndiyo atakuwa amemfurahisha huyo mtu kwa kuamini kuwa siku moja atamkumbuka na kurudisha fadhila kwa kumkumbuka katika ufalme wake!
Hapo tunapata fundisho kubwa kuwa siyo vyema kwa wapangaji wa maendeleo kuendelea kupeleka maendeleo yale maeneo yasiyo na uhitaji ya "waheshimiwa" wakati maeneo mengi ya wanyonge yakiwa na uhitaji mkubwa yakisahauliwa.
Kwa nini hakukataa pendekezo la kujengwa uwanja wa ndege Chatto wakati Geita uwanja upo? (HAPA UMEMAANISHA TAYARI GEITA KUNA UWANJA WA NDEGE)Hukuona bungeni walipitisha ujenzi wa uwanja wa ndege geita?? Au walikuwa wajinga wabunge???
Dah kapate Bapa kwa bili yangu, unafiki wa kiwango cha lamiAmka wewe. Kwa nini hakukataa pendekezo la kujengwa uwanja wa ndege Chatto wakati Geita uwanja upo?
Kwanini hakukataa kuitwa hifadhi Burigi Chato?
Kwanini hakukataa ujenzi wa TRA Chatto? CRDB Chato?
Huu ni mwaka wa uchaguzi bwashee watu watavaa ngozi zote za kondoo wakati ndani ni Chui.
Huyo Mkurugenzi wa Takukuru kafeli kwenye kushindwa kutengeneza kesi dhidi ya Chadema basi.
Hakuna lolote hapo
Point mkuu, jamaa ameikamata Ile nafasi ipasavyo...Angalie Ile kauli "nisije nikajiuliza hizo nyota nilikupaje" ....Kujiamini kumepitiliza Sana.Watu hawajamsoma tu, ila jamaa ameshaimudu ile nafasi, tutarajie mengi ya kutushangaza, ukitaka kujua hilo angalia hata body language yake.
Sijui nani anaamini kuwa rais hapendi watu kujipendekeza tena anataka wamwabudu na usipofanya hivyo unapigwa chini. Huu ni unafiki mkubwa sana na anafanya haya kwani anajua anaongoza malimbukeni wengi.Wakati unafungua Jengo la Tume ya uchaguzi jana, katika hotuba uliyotoa ulinifurahisha sana ulipowashushua watendaji wako, ambao wamepanga kwenda kujenga ofisi ya TAKUKURU huko Chato ambako tayari wanayo hiyo ofisi, ambapo kama ulivyoeleza Mheshimiwa Rais kuwa hao watendaji wako wanafanya hivyo kwa kujipendekeza kwako, jambo ulilolikemea vikali na kusema wazi kuwa halikufurahishi.
Imezoeleka kwa Watanzania wengi kuwa wanapenda mno tabia ya hiyo ya kujipendekeza kwa waheshimiwa wenye nafasi kubwa za kisiasa na wale matajiri na kuamini kuwa kwa kufanya hivyo ndiyo atakuwa amemfurahisha huyo mtu kwa kuamini kuwa siku moja atamkumbuka na kurudisha fadhila kwa kumkumbuka katika ufalme wake!
Hapo tunapata fundisho kubwa kuwa siyo vyema kwa wapangaji wa maendeleo kuendelea kupeleka maendeleo yale maeneo yasiyo na uhitaji ya "waheshimiwa" wakati maeneo mengi ya wanyonge yakiwa na uhitaji mkubwa yakisahauliwa.