Swadaktaaaa nenda kote mashariki,magharibi,kusini,na kaskazini issue kuu ni hapo hao waandishi watakukimbilia hadi hotelini kwako lundo na makamera yao wakuhoji mambo uliyoyataja.natamani aende ili akabanwe na waandishi wa habari wa kimataifa ambao hawezi kuwakimbia au kuchagua wa TBC kama hapa bongo , ataulizwa mambo ya Zanzibar, udikteta, demokrasi, uchumi wetu, rushwa, n.k
Hahahahahaha....nimecheka kwa sautiNatamani kuona mkwala unapopigwa kwa kizungu(eg mimi huwa sijalibiwi kwa kithungu)
sasa hao watakao tumwa hawatasafiri au watachangia kwa simuAmna kusafiri,hapo atatumwa PM au Makamu
Mkuu wewe tu unashindwa kuunganisha mambo mbona kama kutawaliwa,bado unatawaliwa!!!? bora uamue moja wekeni mitaala ya Kiswahili mwanzo mwisho vinginevyo kwa sasa mitaala yote sekondari na vyuo ni kwa kiingereza,sheria zote kwa kiingereza,vyeo vyote majeshini kwa kiingereza upooo???na yule anayebeba gongo lake pale mjengoni vipi sio ukoloni wa kiingereza??jumuiya ya madola mkuu wake ni malkia na mnaenda vepeeee??kubali mfumo wa elimu mbovu??huko darasani kemia angefundisha Kiswahili??kazi kwako.Humu mna ****** wengi sana,wanaodhani kujua kingereza ndio kua msomi,anaweza kwenda na akahutubia kwa kiswahili maana ni lugha ya kimataifa,Rais wa China akienda anahutubia kichina na wakalimani wapo sasa nyie mnaodhania kiingereza ndio elimu mjue mmetawaliwa bado fooool
akija dar tutaenda dom na akija dom tunarudi dar ili mradi tusikutane naeKwahiyo ikitokea Obama kaja kumtbelea ni aibu siyo !
anaogopa anaweza ulizwa lini ataanza peleka mitumba ulaya kutoka TZUN UNARUHUSIWA KUTUMIA LUGHA YOYOTE..HATA KAMA MAGU ATATUMIA KISWAHILI TRANSLATOR MACHINE ZIPO...
SO HAKUNA WASI...
MBONA WARUSI WACHINA ETC WANAONGEA LUGHA ZAO..
OVA
Hiyo kalianaogopa anaweza ulizwa lini ataanza peleka mitumba ulaya kutoka TZ
teh teh teh teh teh teh teh teh.......akija dar tutaenda dom na akija dom tunarudi dar ili mradi tusikutane nae
Duuuh, sijui kama atakwendaUN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Tatizo la nchi yetu ni hatuna viongozi wa wastani, JK alikuwa anasafiri mno na Magufuli hasafiri mno, Tunataka rais wa wastani.Mbona watanzania hamna jema kipindi cha JK mlisema anasafiri sana kipindi hiki cha JPM ametulia hasafiri ovyo bado mnalalamika kua hasafiri sijui watanzania mnataka nini acheni kulalama ovyo..
Unafanyika chato geita ukumbi wa halmashauriUtafanyika wapi huo Mkutano?
Na hicho ndicho kilichotufanya kuwa WAJINGA, WASWAHILI NA WANAFKI hata ktk hiyo EAPia kujua kiingereza hakuzuii kufanya yote ulioyasema hapo juu....acha uvivu kijana hata marekan walipelekewa kiingereza na wanaongea mpk kesho...nchi za east africa zote wanaongea kuswahili plus lugha nyingne sa c watz tunataka kiswahili tuu!!!
Kikwete kweli alizidi ameenda mpaka nchi zisizo na faida kwetu, lakini haimaanishi anayefuatie asishiriki mikutano yote e.g. AU, UNO, SADC etcNdio maana kuna msemo unaosema; binadamu hawana jema.
Kikwete alikuwa anasafiri sana wakasema amezidi kusafiri akatungiwa majina mengi kiguu na njia mda wote anaruka angani Siku alizotumia kwa safari za nje ni nyingi kuliko alizotumia kukaa ofisini.
Kaja JPM asiyetaka kusafiri Mara kwa mara wanasema hajui kingereza,
Kweli nineamini upinzani wa tz una safari ndefu.
Tehe tehee !! Kwani kiswahili si kimeruhusiwa kuwa Lugha ya kimataifaa ??[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]kingereza kigumu nyie msifanye masihara!!!