Uchaguzi 2020 Ushindi mkubwa wa Rais John Magufuli, utatoka kwa wanyonge na Wananchi wa kawaida kabisa

Leslie Mbena

JF-Expert Member
Nov 24, 2019
207
677
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi,nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima,Wafanyakazi na Wafanya biashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini,ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki,Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wamanchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.
Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kwanza wasomi na mafisadi awatapiga kura safari hii. Tusiongopeane hapa. Ukabila upo kidogo
 
Acha kuandika PUMBA! Kawafanyia nini wanyonge hadi wampigie kura? Hajiamini huyo na ndiyo sababu hataki kuisikia TUME HURU maana saa nne asubuhi tu atakuwa KISHAGARAGAZWA Nchi nzima.

USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
 
Acha kuandika PUMBA! Kawafanyia nini wanyonge hadi wampigie kura? Hajiamini huyo na ndiyo sababu hataki kuisikia TUME HURU maana saa nne asubuhi tu atakuwa KISHAGARAGAZWA Nchi nzima.
Hawa ndio wanyonge wenyewe
Subpost 2 - WANAFUNZI WAFANYIA MTIHANI CHINI YA MTI.  Baadhi ya wanafunzi wa shu ( 480 X 640 ).jpg
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Facts.

Exquisite Analysis fella!
 
Ushindi mkubwa wa Rais John Magufuli, utatoka kwa wanyonge na wananchi wa kawaida kabisa
Ni akina nani hao wanyonge? Mbona nimekuwa nikisikia sana hii kitu wanyonge? Nchi hii kuna wanyonge na wasio wanyonge? Nani anawanyonga wanyonge hadi wanatambulika hadharani?
 
Hawa ndio wanyonge wenyeweView attachment 1502017
I Beg To Differ Pal....

It's True hao watoto wamekosa madarasa...halipingiki kwani umeamua kuchagua kutuwekea YALE MAPUNGUFU....

Mkulungwa eee,hv huo mkoa HAKUNA kamati za shule?!!!
HAKUNA washika dau ktka ELIMU?!!
HAKUNA hata wasamaria wema na matajiri wenye kuguswa ktka suala mtambuka la ELIMU?!!!

Kama Wapo..

Wamechukua hatua ipi?!!!

Juzijuzi tumepata habari kuwa BILIONEA MPYA bwana Laizer alipatapo kujenga SHULE NZIMA kabla hata ya kupata BINGO.....
Kule Zanzibar mwanzoni mwa mwaka huuhuu alijitokeza TAJIRI aliyeguswa akajenga shule ya sekondari ya ghorofa na yenye viwango na kuikabidhi serikali km MCHANGO WAKE......

NA KUHUSU SERIKALI IMEKUWA IKIJENGA SHULE NYINGI ZENYE MADARASA MENGI TU....

Tunapenda kutoa mifano ya nchi zilizoendelea kuwa wanna serikali Bora na imara....
Hebu tujiulize Basi.....

Kabla ya serikali imara,haihitajiki watu imara km taifa ili Basi watoe michango yao na vipawa vyao kuijenga nchi Bora na yenye taasisi imara ya serikali?!!!

Magufuli ni GAME CHANGER wa STATUS QUO inayolisumbua taifa hili....

Status Quo hiyo NDIYO iliyotulea sote na hata kutufanya tupate hivi VIDIGREE VYETU ambavyo havitusaidii kuleta michango mbadala mipya kwa FAIDA ya vizazi vyetu.....

NI lAZIMA TUBADILIKE POSITIVELY.....

Luckily mbadilishaji tunaye na ameanza hatua hizo KIVITENDO.....OTHERWISE zitakuwa tu ni zile cheap political rhetorics kwa FAIDA ya FURSA za maisha BINAFSI😂😂.

Wasalaam.
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Taka ngumu hizi! Zinahitaji dampo la kisasa kuchakatwa maana zimeanza kuoza
 
Chama kiko madarakani karibu miaka 60 na Nchi Ina utajiri mkubwa sana lakini hawa wahuni wakati wao wanakuwa mabilionea kwa njia za haramu sera zao MUFILISI zinaendelea kuwakandamiza mamilioni ya Watanzania nchini na hivyo kuendelea kuishi maisha ya ufukara wa kutisha na wengi wakiwa wamekata tamaa kama wataweza kutoka katika dimbwi hilo kubwa la ufukara.

Ni akina nani hao wanyonge? Mbona nimekuwa nikisikia sana hii kitu wanyonge? Nchi hii kuna wanyonge na wasio wanyonge? Nani anawanyonga wanyonge hadi wanatambulika hadharani?
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Nyerere hakuwa hovyo namna hii tafadhali tutake radhi.
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Una masters lakini huna akili kabisa
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kwahiyo wakulima wanataka bombadiers?
 
Ha
Taka ngumu hizi! Zinahitaji dampo la kisasa kuchakatwa maana zimeanza kuoza
Ha ha ha Commandante Chakaza....hivi mbona ulipoapa na bunduki yako begani ulisema UTAMLINDA RAIS NA KUTOKWENDA KINYUME NA MAAMUZI YAKE..

Leo umeamua KUMUASI yeye na utendaji wake ee?!!!

Looo nimeamini Kuna watu wana DNA genomic strands ya kupingapinga kila kitu....

NI asili iko deep kabisa katika ile process ya TRANSCRIPTION na TRANSLATION ya RIBOSOMES zao daah hatari....
Mtakuja kujipinga na hata kupinga NASABA za wazazi wenu😂😂
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Wewe Jaffo ndo alitakiwa akuite ukauite wananchi kule kwenye uzinduzi wa barabara.
 
USHINDI MKUBWA WA RAIS JOHN MAGUFULI, UTATOKA KWA WANYONGE NA WANANCHI WA KAWAIDA KABISA.

Leo 13:45pm 09/07/2020

Niseme wazi ya kwamba,Silaha kubwa ya Rais John Pombe Magufuli ni wananchi tena wale wanyonge na wa kawaida kabisa,na ushindi mkubwa wa Rais John Pombe Magufuli utatoka kwa asilimia mia 100% kwa mwananchi wa kawaida ambaye maono yake yamebebwa na Rais John Pombe Magufuli.

Kwa nini nasema hivi, nasema hivi,kwa sababu ya namna ya uongozi wake wa kinyerere (Mwalimu Nyerere Model) ambayo inakinzana na ile tabia ya Azimio la Zanzibar ambalo lilipinga Azimio la Arusha la Mwalimu Julius Nyerere likisema Tanzania si ya Wakulima na Wafanyakazi pekee bali Wakulima, Wafanyakazi na Wafanyabiashara,

Baada ya Azimio la Zanzibar kupita tuliona Wafanyabiashara wakihodhi nafasi za Uongozi ndani ya Chama Cha Mapinduzi na Serikalini, ndipo rushwa ikaanza kuitwa takrima na ufisadi ukatamalaki, Wafanyabiashara waliingia katika Uongozi wa Chama na kuweka msuli wa pesa,ikawa bila pesa haupati Uongozi,

Kwa hiyo Azimio la Zanzibar lilikuwa na maslahi binafsi ya watu wengi ndani ya Chama Cha Mapinduzi wakati ule,hivi sasa Chama Cha Mapinduzi kimerudi katika misingi yake ya Azimio la Arusha ya kwamba Chama Cha Mapinduzi ni Cha Wananchi na sio matajiri wachache.

Lengo la mwananchi wa kawaida ni kutaka kupata Rais anayeweza kuwakilisha matakwa ya wengi walio na maisha ya kawaida kabisa.Rais John Pombe Magufuli anaweza kuwakilisha matakwa ya wengi tena hasa sisi wananchi wa kawaida kabisa,Rais John Magufuli amebeba maono ya kututoa katika umasikini na kutupeleka Uchumi wa kati ambao unaletwa na Viwanda vitakavyoleta ajira na kipato cha mfukoni,

Tumepata tunu ambayo ni kama dhahabu pale Geita, almasi pale Mwadui ama Tanzanite pale Mererani,Sisi Watanzania tunatakiwa kuikumbatia tunu hii,maana kimsingi sisi ndo wenye ilani,katiba iwe ya Chama ama Serikali.

Ningekuwa na Mamlaka ningesema aende na Urais kama Wachina walivyomwambia Xi Jimpin aendelee na Kama Warusi walivyomwambia Vladmir Pitin aendelee baada ya kumuona akienenda sawa sawa na Baba wa Mageuzi nchini Urisi Joseph Stalin,

Sasa kwa nini tuendelee kucheza upatu? Maana anaweza akaingia Rais mwingine wote tukashangaa,Nadhani, huu ni wakati mzuri wa kujifunza siasa za uwajibikaji, na kutokuoneana haya,tuite koleo koleo na kijiko kijiko na kuambiana ukweli pale tunapoona mambo hayaendi sivyo,kwa maslahi mapana ya Taifa letu la Tanzania.

Naomba nikiri ya kuwa viongozi wote wa CCM waliowahi kutokea kwenye nafasi ya Urais ni wazuri sana na kila mmoja kwa wakati wake alifanya vyema sana, ikiwa pamoja na kuandaa njia na mazingira ya ujio wa Rais John Pombe Magufuli.

Nikiri tena ya kuwa kwenye uzuri kuna madaraja ya uzuri,kwa maono yangu Rais John Pombe Magufuli ni mzuri sana kuwazidi watangulizi wake na pengine ni Rais bora kupita Marais wote waliopata kutokea katika Afrika ya Mashariki,

Hoja kubwa ni kuwa na uwezo wa kuamua kufanya jambo wakati wengine waliona haliwezekani, Pili uwezo wake wa kuwajibisha viongozi hata kama wanaurafiki wa karibu.

Kwa hayo machache sana sioni kwa nini tunawalaumu wanaosema kuwa aongezewe muda,Kama anaweza kuliko historia inavyoonyesha kwa nini asiongezewe.

Binafsi sioni shida kabisa kabisa na wala sina hila yeyote wala manufaa kwenye uongozi zaidi ya kufurahia jinsi chama changu kinavyopaa kwa hivi sasa kikionyesha Mageuzi makubwa ya kiuchumi,

-Rejea Sifa za Profesa Lumumba kwa Rais John Magufuli.

=Kwa miaka 6 tu Rais Kenyata kufikia 2019 alikuwa ameshakwea pipa Mara 92 kuhudhuria shughuli mbalimbali nje ya nchi shughuli nyingi zikiwa Ni kuaapishwa na kutafuta Mikopo kwenye mataifa ya Kibepari.

=Kwa miaka 5 Rais Magufuli katoka nje ya mipaka Mara 8 ikiwa na utofauti wa safari 84 alizokwea pipa Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya.

Safari ya kwanza ya Rais John Magufuli ilikuwa mwaka 2016 nchini Rwanda,Alikutana na mwenyeji wake Rais Kagame kuzindua one stop border na kufungua Daraja la Rusumo.

Safari ya Pili, Rais John Magufuli alisafiri kwenda Uganda kwa Jirani yetu Museven. Lengo la Safari hii ilikuwa Ni mazungumzo ya Bomba la mafuta toka Uganda kuja Tanzania.

Safari ya Tatu,Rais Magufuli alitembelea Kenya kwa Jirani Mwingine hii ilikuwa safari ya Mwisho kwa mwaka 2016 ambapo alikwenda kuimarisha biashara ya Kenya na Tanzania.

Kitako cha andiko langu ni kukuonyesha umuhimu wa safari nane zenye tija alizofanya Rais John Magufuli akienda nje ya nchi tofauti na safari 92 alizofanya Rais Uhuru Kenyatta kwenda nje ya Kenya,kwa ufupi hili ni eneo ambalo tulikubaliana kwenye Ilani yetu ya Chama Cha Mapinduzi kuwa tutalidhibiti ili fedha hizi tuzitumie kuondoa umaskini wa watanzania.

-Hoja ya Kuongezewa muda,

'Term limits' zina faida zake. Na lengo na madhumuni ya term limits ilikuwa ni Watanzania kujipa fursa ya kusahihisha makosa yetu ambayo tumeyatenda kidemokrasia, hasa tukizingatia kuwa demokrasia ni uhuru wa kuchagua ikiwa ni pamoja na kuchagua kwa usahihi au kwa makosa.

Ninakumbuka kwenye Awamu ya Pili ya Mzee Mwinyu, tulikuwa na changamoto kadhaa,hata tukamuona Augustino Lyatonga Mrema akitumia staili yake ya kupiga chenga kutaja madhaifu ya Serikali,lakini "term limit" ikatuokoa.

Kwenye Awamu ya tatu ya Mzee Mkapa tuliona gharama kubwa ya kuendesha mashirika ya Umma hata tukaanza kuyabinafsisha kwa kushindwa kuyaendesha na kuwalipa wafanyakazi tuliokolewa na "term limit".

Kwenye Awamu ya nne ya Mzee Kikwete tukiendelea kula matunda yetu ya Uhuru,tukashuhudia skendo kubwa ya Richmond na Escrow zilizotokana na tatizo la ukosefu wa Umeme wa Uhakika,tukaokolewa na "Term limit".

Rais Magufuli, ni kiongozi ambaye amejipambanua kiuwezo siyo tu katika bara la Afrika, bali ulimwenguni,kusita kumuongezea muda JPM kwa mategemeo ya 'good luck' ya kumpata mwingine kama yeye haitakuwa busara. Nchi haziendeshwi kwa kutegemea 'good luck'.

Rais Magufuli amefuta karibu malalamiko yote ambayo wapinzani au nisema Taifa lilikuwa linalalamikia katika miaka 30 iliyopita,Mathalani, mambo ambayo Rais Magufuli ameyafanya katika awamu yake ya kwanza yanasomeka kama miujiza au yanaonekana kama ndoto,

Mambo makuu aliyofanya Rais Magufuli kwa Taifa la Tanzania ni mengi na makubwa yanayoajabiwa na dunia nzima. Lakini Magufuli anatumia Katiba ile ile ambayo watangulizi wake waliitumia,Hii maana yake ni kwamba tatizo letu Tanzania halikuwa katiba,bali udhaifu wa watu wanaosimamia Katiba yetu.

Imetuchukua Watanzania miaka 30 (thelathini) kumpata kiongozi wa aina ya Mh. Magufuli - Mtu ambaye ana ushujaa,uthubutu na uzalendo wa kipekee na upeo wa kujitolea usio kifani,Rais mstaafu, Alhaji Ali Hassan Mwinyi alipokiri hadharani kuwa "sisi tulikuwa waoga" wakati akiyapa tano mafanikio ya Rais John Magufuli ya mwaka wake wa kwanza alitoa ukweli mwanana.

Mimi ni muumini wa kweli ya kuwa hakuna mtu hapa duniani unaweza kuwa "indispensable" kwa maisha ya Taifa lolote. Lakini, itakuwa ni si busara kusitisha uongozi wa mtu ambaye ana uwezo wa pekee kwa sababu tu hakuna mtu ambaye ni "indispensable" kwa maisha ya Taifa letu. Aidha Tanzania itakuwa inajidanganya ikifikiri kuwa tuna akina Magufuli wengi. Hiyo si kweli,kulikoni ilituchukuwa miaka 30 kumpata huyu tuliyenaye, iwapo tunao wengi?

Kumuomba Mh Rais Magufuli akubali kuendelea kupitia kura za maoni (referendum) itakuwa ni sehemu ya Katiba; lakini kubwa kupita yote ni kwamba hii itakuwa ni kwa manufaa ya kila mwananchi wa nchi yetu ya Tanzania.

Ni kweli kuwa pamoja na mazuri yote ambayo Rais Magufuli anatufanyia Watanzania, wapo watu katika Chama chake na katika Serikali yake ambao hawapo na yeye na wanamuhujumu. Wengi wa hawa ni wale ambao mirija yao imekatwa - watu ambao walikuwa wanalifuja Taifa letu kwa manufaa yao,

Nimalizie kwa kusema baadhi ya nchi zimeamua kuwekeza kwenye tunu zao kama Urusi na China kulingana na mfumo wa nchi zao. Zipo pia nchi zilizoendelea kama zile nchi za kifalme hazina ukomo pengine ni utamaduni wao lakini cha kufurahisha nchi kama USA, wingi wa kura siyo ambao unamchagua Rais wa Marekani na mfani tu Hillary Clinton alishinda kwa kura lakini Rais Trump kachaguliwa na wajumbe wa Seneti, Hapo ujiulize maswali ya kutosha.

Nimalizie kwa kusema,tunaweza kutumia Demokrasia hiyo hiyo kufanya yaliyofanyika China, Urusi na nchi kama Rwanda, hebu wekeni karesearch kadogo kwa wananchi kawe kanauliza maswali mawili tu

1. Unadhani Magufuli anapashwa kupewa miaka mingine 10 ya ziada?

2. Unadhani Magufuli hapashwi kupewa miaka mingine 10 ya ziada?
Halafu uone wananchi watasemaje, tena maswali yakaulizwe kwenye ile mikoa yenye upinzani mkali kama Arusha, Mbeya na Kigoma.

Nikiishia hapa,Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

-Bachelor of Business Administration in International Business
-Master's in Leadership and Management.

-Research; Assessing Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Hakika jpm ni mtumwa wa mungu kwetu
 
Back
Top Bottom