Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Humu mna ****** wengi sana,wanaodhani kujua kingereza ndio kua msomi,anaweza kwenda na akahutubia kwa kiswahili maana ni lugha ya kimataifa,Rais wa China akienda anahutubia kichina na wakalimani wapo sasa nyie mnaodhania kiingereza ndio elimu mjue mmetawaliwa bado fooool
kiswahili bado hakijaruhusiwa kutumika UNO
 
Tutapiga sana kelele humu jukwaani lakini ukweli utabaki palepale ngeli ni muhimu sana sababu inakufanya ujiamini popote unapoenda. Kumbuka mzungu akitaka kitu chako hata broken english ongea tu ili mradi anajua mwisho wa siku ataondoka na alichokifuata; lakini ukitaka kitu kutoka kwake lazima ujue kujieleza mpaka akuelewe, sasa kwa mkulu tuliyenaye hii tuhesabu tumeshaumia na ikumbukwe Tanzania ni changa kutegemea misaada ni lazima. Mungu wangu sijui tutafanyeje kwa hali hii
Unadhani wachina hawajiamini?
Unadhani wa North korea hawajiamini?
Waarabu hawajiamini?
Warusi,
Wajrumani etc hawajiamini?

Au ndo vile inavodaiwa mmeishiwa hoja?
 
Nia aibu watu wazima mnashikilia hoja ya kiingeleza,,
Ni dhahiri mmeishiwa hoja.
 
Unadhani wachina hawajiamini?
Unadhani wa North korea hawajiamini?
Waarabu hawajiamini?
Warusi,
Wajrumani etc hawajiamini?

Au ndo vile inavodaiwa mmeishiwa hoja?
Halafu siku nyingine ujue kujitofautisha kati yako wewe "member" na wale unaoona wameandikwa "Expert member" unaandika hoja za hovyo. Unaanzaje kufananisha Tanzania nchi changa na hayo mataifa uliyoorodhesha hapo? Unajua umuhimu wa kuijua lugha hiyo kwa Tanzania?
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Atawakilishwa na Balozi wetu wa kudumu wa UN aliyeko huko, pesa zilizotengwa kwa safari hiyo tutanunulia furniture za majengo ya Dodoma. ( majanvi, mikeka na vigoda)
 
English shida kweli inasikitisha viongozi hata written speech wanaisoma kwa kusua sua. Samia ndio kidogo afadhali.Nimecheka sana Majaliwa aliposema welcome members of diplomatic corpse badala Corp.
Tunamtegemea mama tu wengine aibu aise
 
Humu ndani raha Sana utadhani tupo dormitories.
 
Nia aibu watu wazima mnashikilia hoja ya kiingeleza,,
Ni dhahiri mmeishiwa hoja.
Nyie nanyi mmetuchosha na maneno yenu, nini hamuelewi hapo?
Unaijua wewe elimu ya udaktari wa falsafa unapatikanaje kwa hapa Tanzania? Ok tufanye ili uupate huo udaktari wa falsafa kuanzia form one mpaka uhitimu miaka sio chini ya 14 baadae utajifunza kwa KIZARAMO.
Sasa ukihitimu baada ya miaka yote hiyo na kizaramo hujui ndio watu wanapipata mashaka kweli umehitimu wewe? Kwa wengine kutojua kizaramo sio issue lakini hata wewe?
Au tumwambie Ndalichako atumie darubini kukuchimba?
 
Alisafiri masafa marefu zamani, hadi kwa tb Joshua lakini watu wanadai kulingana na afya kuendelea kudorora(sijui anaumwa nini?) anatakiwa kuwa hewani muda usiyozidi masaa matatu, sijui zaidi kwa vile wadadavuaji wapo hapa watatujuza
 
Alisafiri masafa marefu zamani, hadi kwa tb Joshua lakini watu wanadai kulingana na afya kuendelea kudorora(sijui anaumwa nini?) anatakiwa kuwa hewani muda usiyozidi masaa matatu, sijui zaidi kwa vile wadadavuaji wapo hapa watatujuza
he kumbe anaumwa???!!!!
 
Unadhani wachina hawajiamini?Unadhani wa North korea hawajiamini?Waarabu hawajiamini?Warusi,Wajrumani etc hawajiamini?Au ndo vile inavodaiwa mmeishiwa hoja?
Hivi kwa akili yako ndogo unafikiri hawa unaowataja hii lugha hawaijui? Kakacha kuhudhururia vikao vya sadc tena akiwa anatakiwa kukabidhiwa uenyekiti wewe unaona ni jambo jepesi, hii tafsiri yake ni dharau kwa wakuu wa Nchi ambao waliohudhuria. Acha kuendekeza ujinga hii lugha ni muhimu hapa tutakosa mambo mengi ambayo yatatuathiri
 
ninachokumbuka anko mwenye house yake alishasema hotuba zake zote ni kwa kiswahili kama sikosei ni kipindi kile kamvist paul
 
Humu mna ****** wengi sana,wanaodhani kujua kingereza ndio kua msomi,anaweza kwenda na akahutubia kwa kiswahili maana ni lugha ya kimataifa,Rais wa China akienda anahutubia kichina na wakalimani wapo sasa nyie mnaodhania kiingereza ndio elimu mjue mmetawaliwa bado fooool
Tehteh! Mbaazi zikikosa maua husingizia jua. Ukisoma elimu yako kwa kiingereza halafu usipoiweza lugha hiyo, maana yake hujaelewa ulichosomea maana hutaweza hata kuelezea facts za ulichosomea. Jipange kaka kumtafuta Ras Simba kama nawe ndio vile.
 
Usilinganishe putin na rais wako, lugha uendana na uchumi wa nchi na ndio maana wakenya wanawatalaam wengi wa kiswahili nje kuliko tz wakat kiswahili chao kibovu

Ila nimlinganishe nani Na Rais wangu?
 
Tehteh! Mbaazi zikikosa maua husingizia jua. Ukisoma elimu yako kwa kiingereza halafu usipoiweza lugha hiyo, maana yake hujaelewa ulichosomea maana hutaweza hata kuelezea facts za ulichosomea. Jipange kaka kumtafuta Ras Simba kama nawe ndio vile.
Mbuzi wa vingunguti kushindana na wewe nikupoteza muda
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.

Tanzania ya viwanda
 
Back
Top Bottom