Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Ingekuwa kwenye mpira anko Magu ni namba 5 ( Kitasa ) ama Sentahafu. Yeye kazi yake ni kuwatuma namba 4 ( Samia ) na namba 6 ( Kassim ) kukaba halafu yeye anamaliza mkoba kiulaini.
 
In my countrrry Tanzania we have a problem which is too big, and that's... people use to die in the rek "lake"
 
Mbona watanzania hamna jema kipindi cha JK mlisema anasafiri sana kipindi hiki cha JPM ametulia hasafiri ovyo bado mnalalamika kua hasafiri sijui watanzania mnataka nini acheni kulalama ovyo..
Kwa kujifungia ndali wawekezaji watajileta wenyewe? Angalia jk aliketa watalii zaidi ya laki saba na wale wa awali laki 6 wakawa 1.3 milion! Utalii ukawa ndo sekta no moja kutuingizia pesa za kigeni! Kujifungia ndani hakuna faida yoyote!
 
natamani aende ili akabanwe na waandishi wa habari wa kimataifa ambao hawezi kuwakimbia au kuchagua wa TBC kama hapa bongo , ataulizwa mambo ya Zanzibar, udikteta, demokrasi, uchumi wetu, rushwa, n.k
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Huu ni mkutano muhimu na ni vema mkuu wa nchi akahudhuria.
 
Labda kajifungia anameza nondo ndo maana kachindwa hata kwenda bukoba
Mkulu lazima akitumbue kiingereleza ndani ya miaka 5. Hivi kiingereza hakitambui kwamba mkulu wetu hajaribiwi? Mkulu anakilia-timing tu kidhungu akiumbue.
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.

Kule hakuna ushabiki wa kicheza ngoma. Sijui ataenda na jeshi la polisi ili awalazimishe kumpigia makofi na kubadiisha hotuba za wote zimfsifie?

Pengine kuna maswali magumu ambayo, yatajibiwa na mtu wa chini yake ovyo ovyo ili yeye amsupport.
 
Natamani kuona mkwala unapopigwa kwa kizungu(eg mimi huwa sijalibiwi kwa kithungu)
Me, a catalyst, never change at the end of chemical reaction but not put in the test tube, never ever kamwene mnogage! Uh sorry! English is a missed call.
 
Back
Top Bottom