Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

badili heading ya thread mkuu,
Mana mkulu kahairisha kwenda kwa bw. Rungu kisa tetemeko

Tumeumbwa na ukimya usioelezeka ghafla mkutano wa UN ahudhurie tena wakati bado hatujaendAa kanyiiigo
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Swali la kwanza, kule wanatumia kiswahili? na ile ngeli yenye viraka vya grammar itakuaje?
 
PM na samia na wenyewe nikwavile wanashindwa kubisha wangekula kona maana huko kuzito si mchezo
 
If truth be told Bi Samia wakilisha siyo Majaliwa siyo Magu, Mugambo turuke na kuganyana hapa hapa UN assembly level nyengine bana.
 
Back
Top Bottom