Hebu tupende kudumisha lugha yetu bhana.....kwan kuitukuza lugha ya kigen huo ni ukoloni mambo leo tuamke kifikra wana Afrika mashariki, tena ningefurahi sana kama Raisi JPM awepo na azungumze kiswahili kwenye mkutano huo
Au wengine mnakubaliana na usemi wa Trump kwamba tutawaliwe upya maana mnaitukuza sana hii lugha ya kigeni kwa kutokujua huo ni ukoloni
Au wengine mnakubaliana na usemi wa Trump kwamba tutawaliwe upya maana mnaitukuza sana hii lugha ya kigeni kwa kutokujua huo ni ukoloni