Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Rais Magufuli atahudhuria UN General Assembly Jumatatu?

Hebu tupende kudumisha lugha yetu bhana.....kwan kuitukuza lugha ya kigen huo ni ukoloni mambo leo tuamke kifikra wana Afrika mashariki, tena ningefurahi sana kama Raisi JPM awepo na azungumze kiswahili kwenye mkutano huo
Au wengine mnakubaliana na usemi wa Trump kwamba tutawaliwe upya maana mnaitukuza sana hii lugha ya kigeni kwa kutokujua huo ni ukoloni
 
Samia lazima kucheza ngoma ya kisukuma japo m idundo ya royal air force inarindima moyoni ! Lazima kuheshimu hierarchy.
 
Sipendi upumbavu wa kuhusisha maamuzi magumu ya rais na hoja dhaifu ya lugha. Aliyewaambia UN hakuna wakalimani wa kiswahili ni nani? Hivi nyie wakuja mnajua lugha za UN ziko ngapi?
 
Haendi, hawezi kwenda! Sababu? Wote tunazijua ila sina fine ya kulipa ningezisema, maana nshasomeshwa namba mpaka naona double double.
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Naomba Mungu asiende asije kutuletea aibu ya kuhutubia Kisukuma huko maana ndo zake!
 
UN General Assembly inaanza Jumatatu Sept 19 2016. Hivi ni lazima Rais aalikwe kuhudhuria mkutano huo au huwa wanaenda tu?..Rais wa Nigeria atahutubia na ameshawa taarifu wananchi wake nini atahutubia. Nakumbuka hata Rais Mstaafu Mwinyi niliwahi kumshuhudia akihutubia..Sijui Mheshimiwa Magufuli atahudhuria na kuhutubia? Nafikiri Msigwa atatuhabarisha.
Naomba Mungu asiende asije kutuletea aibu ya kuhutubia Kisukuma huko maana ndo zake!
 
UN UNARUHUSIWA KUTUMIA LUGHA YOYOTE..HATA KAMA MAGU ATATUMIA KISWAHILI TRANSLATOR MACHINE ZIPO...
SO HAKUNA WASI...
MBONA WARUSI WACHINA ETC WANAONGEA LUGHA ZAO..

OVA
 
No wonder yupo kimya. Vuta kumbukumbu ulipokuwa shule ukijua kesho ni viboko unatamani hiyo siku isifike. utatafakari mengi mfano kusingizia unaumwa kabla hilo halijatimia lazima uwe mpole kuthibitisha umgonjwa. Just saying!
 
aliwahi kusema Rais wa Botswana kuwa UN assembly wanatazama maslahi yao tu. Halafu dk 5 kuongea, nani ataona kuwa umesema point.?? Bora asiende tu
 
Mbona watanzania hamna jema kipindi cha JK mlisema anasafiri sana kipindi hiki cha JPM ametulia hasafiri ovyo bado mnalalamika kua hasafiri sijui watanzania mnataka nini acheni kulalama ovyo..
 
Pia kuna mkutano mwingine wa kimataifa unafanyika-NAM Summit huko Venezuela. Jumuiya kubwa baada ya UN ni NAM na tumewahi kuwa na influence sana huko.
 
Back
Top Bottom