Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Rais Magufuli ametoa pendekezo kuwa soko kuu jipya linalojengwa jijini Dodoma liitwe Soko kuu la Ndugai.
Hii ni kstika kuenzi mchango wa Spika Job Ndugai wa kuuletea maendeleo ya haraka mkoa wa Dodoma
Source TBC
Roho ileile ya KUJIMWAMBAFY inaendelea kujiinua...!!!
Kwanini Rais Magufuli asingependekeza Soko Kuu liitwe SOKO KUU LA MWALIMU NYERERE ambaye ndiye alipendekeza MAKAO MAKUU KUHAMIA DODOMA??? Hivi Ndugai amefanya kitu gani cha maenedeleo ya haraka Dodoma mjini zaidi ya kuwa Spika Bungeni na kuhakikisha Kambi ya Upinzani inasambaratishwa nje na ndani ya Bunge?
Kiukweli ni kwamba Rais Magufuli anafanya hivo kama Fadhila kwa Job Ndugai kwa kuhakikisha Wapinzani wanasambaratishwa nje na ndani ya Bunge kwa speed ya supersonic..!!! Lakini pia Ndugai si Mbunge wa Jimbo Dodoma Mjini yeye ni Mbunge wa Jimbo la KONGWA ambalo halihusiani kabisa na Jimbo la DODOMA MJINI hivo si sahihi kusema Ndugai kaleta maendeleo Mjini Dodoma ilhali yeye anatoka Kongwa swekeni...!!