kumbe,ni lubuva kamweka pale ikulu!na wapuuzi tu hao nani kawambia kama kura yao zimemchaguwa Mr.Pombe. nyinyi mukipiga kura au misipige haileti tofauti yoyote Mr. Pombe kachaguliwa na Lubuva.
Kibano hicho... kibano !! hakuna jinsi...."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Hihihi wananchi mnajuta yeye mwnyw jana katamka anajuta kuutaka urais kazi ngumu kwakuwa hakujiandaa kuongoza nchi
Kwenda kule
Mtayaunda sana
Huyo ndie Rais WA Tanzania
Oc kwa ajili ya nini? Kulipana posho sio? Nyie ndo majizi nyie"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Nawashangaa hao wanaolalamika badala ya kuacha kazi wakaenda.huko kwenye mishahara minonoKauli Ya Jpm Mzuri Sana Anasema Asiyetaka Aache Hata Leo Mwisho Milioni 15 Tu
Mkuu labda ofisi za umma,huku kwetu mambo kama jusi."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Acha wafe ili wananchi tupone.Magufuli hana maarifa ya kutuletea mabadiliko ya maana.
Hao wanaomsema kwenye original post mimi siwaungi mkono kwa sababu wanaonekana walizoea njia za mkato. Lakini hata tusiopenda mkato hatumuelewi huyu rais.
Kwa hiyo anaonekana kutopendwa na wanaopenda mkato an wasiopenda.
Kuna watu wapo kati hapa wanampenda.
Kadiri siku zinavyoenda, kama hatajirekebisha, awa wa kati watazidi kupungua.
Magufuli ni kama askari kichaa anayeua mpaka askari wa jeshi lake mwenyewe.
Ubarikiwe,nimefurahishwa na hiyo namba TANO ni ukamilifu wa vidoleMbona wananchi masikini wanazidi kumuombea, tena wanataka akae miaka 30.. MAfisadi ndio wanaosononeka.. Waambie wabadilishe mtazamo, hii ni awamu ya Tano