Rais Magufuli anavyozungumzwa maofisini

Rais Magufuli anavyozungumzwa maofisini

Kauli Ya Jpm Mzuri Sana Anasema Asiyetaka Aache Hata Leo Mwisho Milioni 15 Tu

Sifa za kuchangia Jf ni uanachama tu.Mdomo yeyote hupewa bure na haulupiwi voucher unaweza ropoka chochote mradi huvunji sheria za nchi na kujihatarishia usalama wako mbele ya raia kwa kuropoka kwako.Mleta post hakueleza idadi ya ofisi alizotembelea na kuyasikia hayo na kwamba wanautamani uongozi wa raisi Kikwete.Hatujui uwezo wake katika utafiti na hadi yeye kuridhika na kushusha uzi kwenye jukwaa kubwa kama hili alilinganisha ofisi ngapi na adadi kubwa ya ofisi za srikali na mashirika zilizopo nchini achilia mbali za halimashauri/majiji.

Sasa nimwambie baada ya uongozi wa baba wa taifa hili mwl.Nyerere ndio nchi imempata raisi wa aina ya mwl.Nyerere.Aliokutana nao wakimlalamikia raisi Magufuli ni wale waliozoea kutenda kwa mazoea na kutochukuliwa hatua haswa waliopo nafasi za manunuzi.Nchi ilioza kwa ufisadi ulioliangamiza taifa.Haikuwepo wizara,idara,wala ofisi inayotenda haki kwa wananchi wote walichotanguliza ni rushwa na hata kiongozi wa nchi hakuonekana kuyashughulikia.Magufuli amekuwa kiongozi kwa miaka ishirini anayajua maovu na watendaji wake hivyo hajifunzi ila sasa anatenda.Magufuli ana uthubutu na asiyeogopa anachohitaji sana sana ni maombi ya watanzania kwa Mungu katika kuitekeleza hii kazi hatari.

Katika kampeni zake za kugombea uraisi na katika mikutano yake hakujaribu kuwabeza wagombea wa vyama vingine.Hayo yalifanywa na wapambe.Nae kwa kuelewa kutokubalika kwa chama chake kwa wananchi kwa asilimia kubwa aliepuka kujinadi na chama hicho na mlimsikia akiomba mchagueni John Pombe Magufuli na nawahakikishia mie nitawaongoza kadri ya maagizo yenu kwangu.Nchi yangu Tanzania.Mimi sio mwoga na sitamwogopa yeyote katika kuwafanyia wananchi kilicho haki kwa manufaa ya wananchi wa taifa langu hata kama itanilazimu kufa.Nitaunda mahakama ya mafisadi na mafisadi wote na bahati nzuri nawafahamu nitawapeleka wote huko.Hili ndilo lililowabadilisha hata wafuasi wengi wa upinzani na kumuunga mkono.Hakika angeendeleza tambo za chama chake za ccm mbele kwa mbele,wameipenda wenyewe,wapinzani waleteni uwanjani tuwachane chane tuwatupe kule,wataisoma namba n.k. hakika asingeshinda.Mtakao kumbuka siku chache kabla ya uchaguzi mkuu tulikuwa tunaomba kumpata kiongozi mkali,mchukua hatua kwa wakati,na wengine walifikia hatua ya kushauri hata akiongoza kidikteta mradi alinde uchumi,raslimali za taifa kuondoa mafisadi na kuwashughulikia na adumishe amani ya nchi wasingejali.Hamadi sasa mmempata wa chaguo mlilotaka na anatenda yale yale yaliyokuwa matamanio yenu na hata wapinzani wanamkubali utendaji wake mnaojiliza liza mnatakaje?Niwahakikishie tu ndani ya miaka miwili/mitatu ya uongozi wake kila kiru kitakuwa sawa.Hiyo milinganisho yenu ya viongozi waliopita naikataa na nawapa mfano mmoja hai.Ripoti za CAG alizokuwa akitoa kila mwaka zilikuwa zikiwekwa makabatini bila utekelezaji.Magufuli anachukua hatua kadri ya mapendekezo ya CAG.TUENDELEE KUMWOMBEA ULINZI WA MUNGU RAISI WETU NA TUMPE MOYO.
 
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Haya ni mazungumzo ya vijiwe vya Bawacha hebu twambie ni ofisi gani? Fisadi lowasa ndio angefanya hayo?
 
Ukiona MAISHA magumu achana nayo fanya mambo mengine tumewachoka sasa
 
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Wimbo ulisema vizuri namba itasomwa tuu
 
Waliokuwa wanapiga dili ndio wanaumia hivi sasa
 
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Hii research umeifanya lini? Mbona hata taratibu za research hazikukamilika. Hatuoni wamehojiwa wangapi, katika mikoa mingapi. Kwa kifupi research yako siyo systematic. Sitokuwa nimekosea nikisema inafanana na mawazo ya mtu katunga au imefanyiwa ndani.
Masikini Tanzania watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo

Ofisi za binafsi nao wanapata OC kutoka serikalini?
 
Watu wafanye kazi, tulizoea maneno maneno sana watanzania ndo maana tuliishia kusifia nchi za wenzetu. Wafanye kazi dezo dezo muda wake ulishapita,acha Mzee ajenge future ya nchi, anayofanya sio kwa faida yake wala washirika wa rushwa na ufisadi. Piga kazi magu piga kazi never ever look back

watu tunataka present hiyo future haimuhusu maana yupo mwingine kwa ajili ya hiyo future
 
Hao ndo wale wafanyakazi hewa. Wafanyakazi wenye chek No. halali wameanza kuzoea kutumia mishahara yao kwa nidhamu kulingana na mishahara wanayopata, au ofisini kwenu OC ni hela ya kugawana wafanyakazi kila mwezi! Mijitu iliyozoea kupiga utaiona tu
 
Hayo ndo majipu, ngoja waje watumbuliwe !
 
Hayo unayazungumza mwenyewe udimezeshe watu maneno yako. Huyo tupe unafuu wa aliyepita kwa mchanganuo maana hayo ni maneno yako
Mkuu ukweli huo ndio ukweli, kwenye ofisi nyingi hayo ndo mazungumzo
 
Hihihi wananchi mnajuta yeye mwnyw jana katamka anajuta kuutaka urais kazi ngumu kwakuwa hakujiandaa kuongoza nchi
Kama hakujiandaa unafikiri ni nani aliyekuwa amejiandaa kutawala? Lowasa alishapoteza legitimacy ya kutawaka Tz na mpaka sasa kashajiharibia kwa kiwango kikubwa sana, zaidi ataigharimu sana Chadema uchaguzi ujao
 
Hii post inawezekana mtoa post katunga kwa interest zake "kwa sababu anazozijua yeye"
Bora tuwe na maisha magumu kwa wakati huu wa Magufuli vizazi vyetu vije viambulie angalau kilichobakizwa na marais waliotangulia kuliko utawala wa awamu ya nne ulivyoifilisi nchi.
Hihihi wananchi mnajuta yeye mwnyw jana katamka anajuta kuutaka urais kazi ngumu kwakuwa hakujiandaa kuongoza nchi
 
Tunajua wataongea hivyo kwa kuwa walizoezwa kuvuna wasichopanda.Njia iko wazi,asiyetaka kuwajibika na kula alichopanda aondoke.Hapa ni kazi tu.
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa, bora hata li-Kikwete, linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani, mtu OC toka Novemba hazijaja, za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira, labda bajeti ijayo
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa, bora hata li-Kikwete, linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani, mtu OC toka Novemba hazijaja, za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira, labda bajeti ijayo
 
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa, bora hata li-Kikwete, linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....

"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani, mtu OC toka Novemba hazijaja, za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".

Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.

Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira, labda bajeti ijayo
Tembelea na kwenye wizara yetu ya elimu (mashuleni) na sehemu zote zisizokuwa na mianya ya rushwa halafu uwalishe watu maneno upya!😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀!
Mwaka huu tutaheshimiana tu mitaani!
 
Raha yake watanzania tuko milioni 50..wakati hao watumishi hata laki nane hawafiki
 
Mtoa mada tumeshakugundua unafanya kazi kwenye ofisi ya wahasibu wa serikali...Your days are numbered.!
 
Mbona wengine wanasema acha mabosi wakomeshwe walizoea kuchukua posho halafu wanaumiza watumishi wa kike hayo hujasikia, na wale wenye ahueni ya mishahara waliokuwa hawaendeshi magari kwa vile hawana hela za kuokota kwa madili wanasema maafisa ugavi na wahasibu kuwa mpaka tutaheshimiana hayo hujasikia
 
Back
Top Bottom