Huyu jamaa ni mzushi!Kwanza ni ofisi gani ameyatoa hayo maneno!Na inavyoelekea yeye na ofisi anayofanya kazi wamejaa wambea na wapika majungu!Badala ya kufanya kazi wao wanamjadili muuza nyumba.Hayo unayazungumza mwenyewe udimezeshe watu maneno yako. Huyo tupe unafuu wa aliyepita kwa mchanganuo maana hayo ni maneno yako
acha upumbavu wewe huna kazi?nani wa kumtisha eti my days are numbered.kwa kosa lipi sasa hapo?toa maoni yako,hulazimishwi kukubali yangu ama ya yule.Mtoa mada tumeshakugundua unafanya kazi kwenye ofisi ya wahasibu wa serikali...Your days are numbered.!
....acha upumbavu wewe huna kazi?nani wa kumtisha eti my days are numbered.kwa kosa lipi sasa hapo?toa maoni yako,hulazimishwi kukubali yangu ama ya yule.
hivi unajua hao wa maofisini hawafiki hata 1%. Na ni hao walizoea kupiga hela kwa wizi, ufisadi, rushwa na kutakatisha fedha za umma. Hivyo si ajabu unavyoona sasa wanalalamika baada ya kubanwa."Hakuna kitu kwa huyu jamaa, bora hata li-Kikwete, linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani, mtu OC toka Novemba hazijaja, za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira, labda bajeti ijayo
Tujulishe jinsi ya kujitayarisha kuongoza nchi. Kunzungusha mikono au kusema upo tayari kuongoza nchi? Nathani umeichukulia simple message aliyotowa rais.Hihihi wananchi mnajuta yeye mwnyw jana katamka anajuta kuutaka urais kazi ngumu kwakuwa hakujiandaa kuongoza nchi
Siongelei siasa za kuzungusha mikono cjui mabadiliko nazungumzia taifa kwa ujumla kwan hata yeye anajua na ndio maana anasema kla siku watz tumuombee kwan urais ni kaz ngumuTujulishe jinsi ya kujitayarisha kuongoza nchi. Kunzungusha mikono au kusema upo tayari kuongoza nchi? Nathani umeichukulia simple message aliyotowa rais.
Tatizo unasema acha wafe wakati hujui kwamba kesho anaweza kukuua wewe.Acha wafe ili wananchi tupone.
ok..you will see what I mean...acha upumbavu wewe huna kazi?nani wa kumtisha eti my days are numbered.kwa kosa lipi sasa hapo?toa maoni yako,hulazimishwi kukubali yangu ama ya yule.
Ma-Tanzania sisi ni mapumbav sana kuna majitu humu yalikuwa yakiambiwa kigwete ni dhaifu yanakuja juu, sasa hivi yamebadilika yanaimba wimbo ule ule yaliokuwa yanaupinga! In short tuache umate mate!! Najua hata Magufuli kuna mapumbavu yanayomfagilia sasa hivi yatakuja kumponda muda wake ukiisha! BANYAN'ING'WE!!
awe na kasi na aongeze ubunifu kidogo mana bado sijaona jipya zaidi ya kubana matumiziNamuombea maisha marefu kwa kasi hii
Hayo yote ni mafisadi pamoja na wewe unayewatungia maneno watumishi."Hakuna kitu kwa huyu jamaa, bora hata li-Kikwete, linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani, mtu OC toka Novemba hazijaja, za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira, labda bajeti ijayo
"
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini, ni ofisi zote za umma na binafsi, ni kada zote, kuanzia mabosi mpaka wafagizi. Kauli za kujutia jutia tu. Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.