Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,033
ofisini kwangu hela inaingia nao, mafuta, umeme, posho, semina tulivisikia tu miaka iliyopita..sipendagi rais mbabe lakini mambo yake safi
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowasa apite"...."Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".....Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Huna hoja we mtu wa Lowasa jipange upya kwa jpm mtasubiri sana siyo utani,magufuli anavyofanya kazi kwa sasa anapendwa na kila mtu isipokuwa nyie mafisadi."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowasa apite"...."Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".....Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
na wapuuzi tu hao nani kawambia kama kura yao zimemchaguwa Mr.Pombe. nyinyi mukipiga kura au misipige haileti tofauti yoyote Mr. Pombe kachaguliwa na Lubuva."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowasa apite"...."Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".....Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Ofisi zipi? Unaposema zinasemwa ofisi zote za umma na binafsi, wewe unakuwepo kote huko? Acha kupandikiza mawazo yako kwa watu. Hizi ndoto za mchana na cheap propaganda hazitawapeleka popote. Lowasa is already obsolete so dont even think of him in the future map of TZ."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowasa apite"...."Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".....Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
Ma-Tanzania sisi ni mapumbav sana kuna majitu humu yalikuwa yakiambiwa kigwete ni dhaifu yanakuja juu, sasa hivi yamebadilika yanaimba wimbo ule ule yaliokuwa yanaupinga! In short tuache umate mate!! Najua hata Magufuli kuna mapumbavu yanayomfagilia sasa hivi yatakuja kumponda muda wake ukiisha! BANYAN'ING'WE!!Huna hoja we mtu wa Lowasa jipange upya kwa jpm mtasubiri sana siyo utani,magufuli anavyofanya kazi kwa sasa anapendwa na kila mtu isipokuwa nyie mafisadi.
nyumbu kukosa malisho anaweweseka. watu mliahidiwa udc wakati elimu kaputi..kisa unyumbu."Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowasa apite"...."Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".....Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
ahahaha,kaa mbali nao mkuu,wanakera kama ushuziLeo nakaa mbali na pro-9% leo! Wataniharibia siku kama sio week!
ahahaha,aangalie kuna ngoma asije enda na maji mafisadi wakashangiliaHao watakuwa Maafisa Ununuzi tu, jana kaapa atalala nao mbele! Wasisahau kinga tu!
Fisadi Lowasa ndio alijiandaaHihihi wananchi mnajuta yeye mwnyw jana katamka anajuta kuutaka urais kazi ngumu kwakuwa hakujiandaa kuongoza nchi
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo[/QUOTE Watanzania kuongea sana nikawaida yao af ni starehe, huoni hata wana Simba au Yanga? Wanafunz na story za walimu wao. Kwamabadiliko yaliyopo lazima waongee, lakini sio kila wanachokiongea ni logic
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo
"Hakuna kitu kwa huyu jamaa,bora hata li-Kikwete,linachekacheka lakini uhakika wa maisha unakuwepo"...."Bora mimi sikumchagua...nilitaka Lowassa apite"....
"Aah bora mimi nilibaki na mke wangu nyumbani,mtu OC toka Novemba hazijaja,za Maji zilikuja kulipa madeni ya wakandarasi".
Haya maneno yanazungumzwa sana maofisini,ni ofisi zote za umma na binafsi,ni kada zote,kuanzia mabosi mpaka wafagizi.Kauli za kujutia jutia tu.Yaani wakikutana wawili watatu hawawezi kuachana bila kuzungumzia hali ngumu ya sasa.
Wafanyakazi wenzangu nawatia moyo tuendelee kuvuta subira,labda bajeti ijayo