Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
MBONA KAVAA SARE ZA CHADEMA?
Umesahau kuwa juzi kawachangia CHADEMA TSHS.38 milioni ili kumtoa Segerea Rev.Msigwa shemeji yake....!!
MBONA KAVAA SARE ZA CHADEMA?
Ikulu ya Dodoma hiyoKwenye mawe Kuna Ikulu?
Labda kama una Manisha enzi za Stone Age wakti wa mababu...!!!
Jiwe juu jiweMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona Dar kuna corona ujue na Dodoma ipoBaada ya Corona kutua dar ndio anajifanya kuikumbuka ikulu ya Dodoma?Akae huko huko asirudi mjini
Unaomboleza umefiwa?Umenena vema. Hii raha ya kugaragara juu ya mawe anaipata wapi wakati wenzake tunaomboleza makanisani, misikitini na kila mahali kwa ajili ya janga hili la corona.
Kwa akili yako ya kiCCM unafikiri kuomboleza ni pale unapofiwa tu. Hivi ufahamy wenu huwa mnautundika wapi halafu mnatembea na kichwa kitupu?Unaomboleza umefiwa?
Kwa akili yako ya kiCCM Unaomboleza niniKwa akili yako ya kiCCM unafikiri kuomboleza ni pale unapofiwa tu. Hivi ufahamy wenu huwa mnautundika wapi halafu mnatembea na kichwa kitupu?
Vocalize!You can take a man out of the village but you can't take the village out of a man
Sent using Jamii Forums mobile app