Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,747
Nawaonea huruma wafanyabiashara waloingiza na kulipia ushuru halafu mwisho wa siku ziwadodee maana kama ni hivyo nani atanunua sasa?
Ngashooka kapisa?!
Ngashooka kapisa?!
Anaharibu sana separation of church and state.sio bado anasema mpaka leo! Amesemea kanisani ili tuamini kirahisi. si unajua huku bongo kuna wakatoliki kuliko rome;
Mkuu TUJITEGEMEE,Kua uyaone mdogo wangu!
Wakuu,
Nimemsikiliza Rais Magufuli akiwa anaongea leo kanisani. Nimeshtuka, Rais anaongea kama layman kabisa. Hii ni hatari kwa Usalama wa Taifa kwa mtu ambaye amepewa dhamana ya juu kabisa hapa nchini.
Rais ni Comforter-in-Chief hivyo kama mfariji mkuu wa Taifa ana mamlaka makubwa aliyobebeshwa na hili inaelekea Magufuli analisahau sana. Huwezi toka huko na kuanza kuwambia watanzania eti “Kufa tutakufa tu”.
Rais ni kama BABA katika familia, na kwa Taifa yeye anasimama kama kichwa cha familia. Huwezi kuwa baba bora ukawa unatishia watu wako (wanao, mkeo, ndugu n.k). Kama baba, unaweza kulaumiwa, unaweza kuliliwa, unaweza kupongezwa, unaweza kuumizwa na hatutarajii kuwa utaitangazia familia kuwa wakome kufanya hivyo! Utakuwa umeshindwa kutekeleza majukumu yako.
Rais ni KIUNGO katika Taifa. Unapotokea mgawanyiko, ana wajibu wa kuhakikisha watanzania wanakuwa wamoja. Hili limekuwa likionekana kuwa tofauti kwa Rais wetu huyu.
Rais anapotoa kauli, ni kauli ya Taifa si yake. Mambo mengi anayoongea Magufuli watanzania walio wengi (wanaojielewa) watakubaliana nami kuwa si yale ambayo kimataifa tungependa kiongozi wetu ayaongee kwa niaba yetu!
Msikilize:
Sasa:
1) Magufuli leo kaongea UONGO mwingi kuhusu barakoa. Alichokiongea ni matusi kwa serikali yake mwenyewe!
- Kama barakoa zilizoingizwa nchini zina virusi au hazifai; kwanini watendaji wake wameziacha ziingizwe sokoni? Anataka kutuambia kuwa TBS na TFDA hawajui kazi yao? Kwanini watendaji wakuu wa taasisi hizi bado wapo kazini?
- Tukubali kuwa tumeingiziwa barakoa zenye kuwa na virusi ambazo zitawaua watanzania: Kwanini Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, IGP na CDF bado wapo kazini? Taifa letu manake usalama wake upo hatarini. Kwa mantiki hiyo, maduka ya madawa yavamiwe mara moja na barakoa zote ziondolewe sokoni
2) Magufuli amekuwa Rais wa kwanza mimi kumuona akiwa anahubiri katika Ibada za Kanisa Katoliki. Huu ni utaratibu wa kawaida kwa wakatoliki? Halafu anawachamba viongozi wa kanisa kwa kuhimiza waumini kujilinda?
3) Rais ametangaza dawa kadhaa kama Bupiji, COVIDOL etc, anataka kuwaaminisha watanzania kuwa Sayansi haifanyi kazi tena? Kuwa watanzania wasiziamini hospitali tena? Haya matangazo ya dawa za asili imekuwaje hadi wasaidizi wake wamwacha hadi ataje baadhi ya dawa moja kwa moja? Ana maslahi nazo? Nasikia mtu aliwahi kuwa RC wa Dar ana mkono kwenye pharmacy chain flani, na kuna tetesi kuwa yupo kwa niaba ya ‘mzee’; hii haoni inazidi kujenga hisia zisizo sahihi?
Nitarejea
Exactly my point.Anaharibu sana separation of church and state.
Nyerere alikuwa anaenda kanisani kila siku. Si kila Jumapili. Kika siku aliyokuwa Dar alikuwa anaanza na sala St. Peters.
Mkapa yeye alienda kanisani Jumapili alivyokuwa rais.
Sikuwahi kuwasikia hawa wakisimama mbele kanisani kutoa hotuba za kisiasa.
Walijua kitu kinaitwa "separation of church and state".
Huyu wa sasa akiambiwa na Waislamu kwamba nchi inaongozwa na Mfumokristo atakataa?
Unataka kusema bupiji ma covido siyo science imetumika kuzitengeneza? Mbona wewe ndiyo unaonekana hujitambui mapema kweupe?Wakuu,
Nimemsikiliza Rais Magufuli akiwa anaongea leo kanisani. Nimeshtuka, Rais anaongea kama layman kabisa. Hii ni hatari kwa Usalama wa Taifa kwa mtu ambaye amepewa dhamana ya juu kabisa hapa nchini.
Rais ni Comforter-in-Chief hivyo kama mfariji mkuu wa Taifa ana mamlaka makubwa aliyobebeshwa na hili inaelekea Magufuli analisahau sana. Huwezi toka huko na kuanza kuwambia watanzania eti “Kufa tutakufa tu”.
Rais ni kama BABA katika familia, na kwa Taifa yeye anasimama kama kichwa cha familia. Huwezi kuwa baba bora ukawa unatishia watu wako (wanao, mkeo, ndugu n.k). Kama baba, unaweza kulaumiwa, unaweza kuliliwa, unaweza kupongezwa, unaweza kuumizwa na hatutarajii kuwa utaitangazia familia kuwa wakome kufanya hivyo! Utakuwa umeshindwa kutekeleza majukumu yako.
Rais ni KIUNGO katika Taifa. Unapotokea mgawanyiko, ana wajibu wa kuhakikisha watanzania wanakuwa wamoja. Hili limekuwa likionekana kuwa tofauti kwa Rais wetu huyu.
Rais anapotoa kauli, ni kauli ya Taifa si yake. Mambo mengi anayoongea Magufuli watanzania walio wengi (wanaojielewa) watakubaliana nami kuwa si yale ambayo kimataifa tungependa kiongozi wetu ayaongee kwa niaba yetu!
Msikilize:
Sasa:
1) Magufuli leo kaongea UONGO mwingi kuhusu barakoa. Alichokiongea ni matusi kwa serikali yake mwenyewe!
- Kama barakoa zilizoingizwa nchini zina virusi au hazifai; kwanini watendaji wake wameziacha ziingizwe sokoni? Anataka kutuambia kuwa TBS na TFDA hawajui kazi yao? Kwanini watendaji wakuu wa taasisi hizi bado wapo kazini?
- Tukubali kuwa tumeingiziwa barakoa zenye kuwa na virusi ambazo zitawaua watanzania: Kwanini Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa, IGP na CDF bado wapo kazini? Taifa letu manake usalama wake upo hatarini. Kwa mantiki hiyo, maduka ya madawa yavamiwe mara moja na barakoa zote ziondolewe sokoni
2) Magufuli amekuwa Rais wa kwanza mimi kumuona akiwa anahubiri katika Ibada za Kanisa Katoliki. Huu ni utaratibu wa kawaida kwa wakatoliki? Halafu anawachamba viongozi wa kanisa kwa kuhimiza waumini kujilinda?
3) Rais ametangaza dawa kadhaa kama Bupiji, COVIDOL etc, anataka kuwaaminisha watanzania kuwa Sayansi haifanyi kazi tena? Kuwa watanzania wasiziamini hospitali tena? Haya matangazo ya dawa za asili imekuwaje hadi wasaidizi wake wamwacha hadi ataje baadhi ya dawa moja kwa moja? Ana maslahi nazo? Nasikia mtu aliwahi kuwa RC wa Dar ana mkono kwenye pharmacy chain flani, na kuna tetesi kuwa yupo kwa niaba ya ‘mzee’; hii haoni inazidi kujenga hisia zisizo sahihi?
Nitarejea
Mbona wengine wanaimba yeye anacheza Kiduku?
Kwel kabsa mkuu ulichoongea uko sahh nakubalia na ww %100Anasema watu wanakufa kwa mipango ya Mungu. Anajivua lawama kwamba hata watu wafe wangapi yeye hahusiki, hana uwezo wala jukumu la kuzuia hilo.
Ana uwezo mdogo sana wa kufikiri na anawapa kazi sana wasaidizi wake. Nahisi wameamua wamuache tu!
Una uhakika chanjo unayoletewa ndiyo hiyo ya akina Biden? Africa imeandaliwa chanjo yake tofauti na ya hao unaowataja ndugu yangu.Barakoa zina corona,chanjo ina madhara makubwa ikiwemo kuwafanya wanawake wagumba na wanaume mazezeta, social distance ni njia ya kutuletea hofu na kufanya tusizaliane hakuna corona ni magonjwa ya kawaida ya changamoto ya kupumua(serikali).
Wataam wa afya na vyombo vya dini 'corona ipo tuchukue tahadhari za kuvaa barakoa,social distance na kufwata ushauri wa wataalam wa afya'.
Hivi hii chanjo aliyo chanjwa biden,Obama,prince Philip,Queen Elizabeth, Putin na viongozi wengine wakubwa ndiyo iyo tunaambiwa si salama?. Tujaribu kuwaza tu hyprocratic politicians kama yule anaye vaa tai ya taifa,yule prof wa jalalani ni kweli hawajapigwa chanjo hadi muda huu?.
Mbona hamuhoji wale wa church wanaposahau mpaka wa state ulipo na kuhimiza wananchi wafanye mambo yasiyo ya ki-church bali ya kisiasa shughuli zinazo fungamana na state!? Tukisema mnafanya double standard gestures tutakosea!?church and state
Kwanza kabisa. Umekubali Magufuli kaharibu?Mbona hamuhoji wale wa church wanaposahau mpaka wa state ulipo na kuhimiza wananchi wafanye mambo yasiyo ya ki-church bali ya kisiasa shughuli zinazo fungamana na state!? Tukisema mnafanya double standard gestures tutakosea!?
Kuna kipindi barakoa za mahospitali (surgical mask) ziliadaimika sana hadi mahospitalini kiasi kwamba hadi madaktari walianza kulaumu kwa kukosa kitendea kazi hicho muhimu. Kilichotokea ni kuzuiwa uingizwaji wa barakoa nyingi ambazo zilikuwa si salama. Sasa hivi hilo tatizo limepungua baada ya MSD kuanza uzalishaji wa surgical mask. MSD wameanza uzalishaji mwezi wa tisa mwaka jana. Pia serikali baada kugundua kuwa kuna barakoa nyingi zisizo salama zimeingia nchini walifanya msako kwenye maduka ya mauzo.Did I dispute matumizi ya dawa za asili? Hapana, nataa narrative ya kuwa barakoa wanazotumia watanzania si salama.
View attachment 1708150
BukuHuyu MTU wenu Bora aondoke hapa DAR maana tulipumzika Kwa muda mrefu hivi vituko vyake....kwani nauli ya kwenda kwao ni tsh ngap tumchangie aondoke?
Let’s assume unasema ukweli na sisi tunaoohoji ndo hatujielewi:Shida yenu hampendi kuambiwa ukweli, barakoa ziliingizwa nyingi sana kipindi cha mwaka jana, na baada ya serikali kugundua hilo walianza kuzuia baadhi ya barakoa zinaonekana zina walakini, na ndio maana kuna kipindi surgical mask zilikuwa adimu hadi mahospitalini kiasi kwamba madaktari walianza kulalamika. Ili kukabiliana na changamoto hiyo, MSD walifanya dharura ya kujenga kiwanda cha kuzalisha barakoa za mahospitalini (surgical mask) amabapo kimeanza full production mwezi wa tisa mwaka jana.
Hapa umeamua kusimama hivi, ni haki yako. Lakini, umeelewa nilikuwa namaanisha nini. So, TZ mna mpango wa kuondoa dawa za kemikali au nazo zitaendelea kuwepo sokoni?Kuhusu dawa za asili nadhani wewe una tatizo kichwani na pengine unachanganya uchawi na dawa za asili. Aliyekuambia dawa za asili nazo si sayansi ni nani? Tofauti ya dawa za asili na hizi za kawaidi ni matumizi ya kemikali. Halafu hata hizo dawa za asili nazo ni sayansi pia, kwani wanachofanya NIMR ni nini kama siyo sayansi?
Ukiwa Rais, ukiamua KUTAJA mfano dawa au bidhaa - taja zote. Kataja mbili, watamtumia sauti yake na video for marketing. Wrong!Halafu kosa ni lipi kwa yeye Rais kutaja dawa ili wananchi wazitumie wapone? Yeye kataja zile ambazo serikali imethibitisha zinafanya kazi, na wananchi wana haki ya kuzijua ili wazitumie wapone, sasa ulitaka afiche ili kiwe nini? Au mleta mada una dawa yako ambayo imeshindwa kuthibitishwa ubora wake hivyo unaona wivu kutajwa dawa zingine?
The approach was totally wrong. Nafasi ya Rais msiichukulie poa, come again. Think about it!Pia viongozi wa dini kama binadamu wengine wanachambwa kama kawaida pale wanapokosea. Aliyekuambia kiongozi wa dini hakosolewi basi alikudanganya sana. Unzuri wa Magufuli anakupa za uso hapo hapo hajali wewe ni nani. Ni lazima tuambiane ukweli ili tuweze kubadilika.
Hahaha, mkuu nadhani hujui unayeongea naye ni nani. Nalijua Kanisa vema! Simply - change the approach. Iheshimuni madhabahuKingine, anachofanya Magufuli si mahubiri, mahubiri ya Kanisa katoliki yanafanywa kabla ya kutoa sadaka baada tu ya somo la Injili ambapo huwa ni katikati ya ibada au misa. Muda anaosimama Magufuli ni muda wa matangazo ambapo misa au ibada inakuwa imeisha. So usichanganye hivyo vitu, kanisa katoliki lina utaratibu wake, na ibada au misa zina miongozo yake ya kufuata.