Senator Hans
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 599
- 377
Hahaaaa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] we muache atazongwa na Wale wa CNN na NYT asa sjui maswal yote kama atakua na "MDA" wa kuyajibRais wetu asiyejaribiwa anapaswa kujua kuwa kadiri anavyokwepa mikutano ndivyo anavyotafutwa na waandishi wa habari wa kimataifa, siku yoyote atakayojichanganya kwenye hiyo mikutano anatandikwa maswali mengi live.....siombi yatokee.🙂🙂🙂😀😀😀😱😱😱😱😱