Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Bado haujanielewa. Niko upande wako. Nimetumia lugha ya staha zaidi. Namaanisha Hiviiii, kuna mtu fulani hajui umuhimu wa Mkutano wa UN, inabidi JF tumfafanulie umuhimu wake kisha tumpe faida ya hasara za kwenda au kutokwenda. Usipoelewa na hapa nitarudi tena.
Umeeleweka vyema mkuu. Mkutano wa UN ni muhimu kuliko hiki kisingizio uchwara cha "tetemeko"
 
Kama ni kweli, nashauri aanze kutoka kidogo, ye ndo baba, akienda yeye ina impact kubwa, we are not an island, huu ni mkutano wa UN.
 
Duh! Watu bhana, eti washaanza kuhusisha na mdahalo utakaofanyika kwa wiki mzima kuhusu maendeleo endelevu! Manake unaweza kukuta from nowhere, hata maneno hujayapanga mara unatandikwa swali la papo kwa papo! Sio hivyo bhana, hebu acheni mambo yenu!
 
Rais wetu asiyejaribiwa anapaswa kujua kuwa kadiri anavyokwepa mikutano ndivyo anavyotafutwa na waandishi wa habari wa kimataifa, siku yoyote atakayojichanganya kwenye hiyo mikutano anatandikwa maswali mengi live.....siombi yatokee.🙂🙂🙂😀😀😀😱😱😱😱😱
 
Usalama hilo bag amapewa Rais? hizo pesa mmeziscan kabla yakump rais azishike?
Mh Rais sikushauri ushike kitu toka kwa mtu pasipo pitia kwa bod guide wako dunia imebadilika sana na sio wote wanatupenda hata yule kuleta misaada yake na jesh haipo sawa...
Bodigadi wanazuia mikono ya wanaomsalimia
 
"Wakazi wa bukoba wajue hiri janga sio mwisho wa maisha...Na harijasababishwa na serikari..Inabidi waenderee kufanya kazi"
 
kwani office ya raisi ipo jf...tumwacheni afanye kazi zake sio afanye kazi mnazotaka nyie...
Kuna tofauti kubwa kati ya Majukumu na Wajibu.
Ebu tusichanganye haya mambo kwa kuchanganya na siasa..[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Bado haujanielewa. Niko upande wako. Nimetumia lugha ya staha zaidi. Namaanisha Hiviiii, kuna mtu fulani hajui umuhimu wa Mkutano wa UN, inabidi JF tumfafanulie umuhimu wake kisha tumpe faida ya hasara za kwenda au kutokwenda. Usipoelewa na hapa nitarudi tena.

Pole rafiki umetumia.lugha kinyume. Pole niwie radhi
 
Back
Top Bottom