Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

hahaa hapo ndo utakapowajua nyumbu maana hawachelewi kutuambia mkutano wa UN una maana kuliko maisha ya ndugu zetu wahaya...hamna jambo analofanya raisi wakakosa negative reason
Kama kip anachokfanya MH.Prezdaa kwa wahanga wa tetemeko c ana awaidiz na ndo tunawaona kila wakat wako BK, UN has a lot of potentials to its members in fact as a member state its very important to attend
 
Mwisho itakuwa kumkufutu Mungu kutumia maafa kusema uwongo....Mara ooooh nashukulikia maafa Siendi Zambia .....Mara ooh nashughulikia maafa siendi marekani ...YOTE Hayo Wakati hata Bukoba hujafika Na umezuia wengine kugawa misaada unawaza siasa Na unasema wasichangiwe Ni mtapeli
Wewe ambaye sio Tapeli hata Shilingi ya serrilali hujapeleka Zaidi Nchi majirani wamafikisha misaada kabla yetu .......HII aibu ya wapi jamani Leo tunaipata......

Tuambiwe tatizo Ni nini ???. Afya ??? Kingereza????? Ni nini ??? Kama unaweza kukariri hadi majina ya vitu ...inakuwaje ngumu kumeza hotuba nzima kichwani.....???? Na Uzuri hotuba Nyingi vikao Rasmi hata marais Wenye uwezo Mkubwa huwa wanatakiwa kusoma...Na sio kukataa kusoma hotuba Za kuandaliwa Wakati Zako hazina kichwa wala miguu ....hata Za walevi klabuni zingefaa
 
Hii inachokonoa maswali zaidi.
Ni tetemeko la ardhi tu au kuna jambo jingine?
Au mkuu ana wasiwasi gani wa kuwa mbali na ikulu?
Wajuvi wanajua,sisi tunajiuliza tu!!!
 
Hivi kwa nini wasiweke hii kitu kwenye ku bet? Kama vile obama hatahudhuria kikao cha UN kwa miaka yote odds yes 100, no 1.01
 
Mwisho itakuwa kumkufutu Mungu kutumia maafa kusema uwongo....Mara ooooh nashukulikia maafa Siendi Zambia .....Mara ooh nashughulikia maafa siendi marekani ...YOTE Hayo Wakati hata Bukoba hujafika Na umezuia wengine kugawa misaada unawaza siasa Na unasema wasichangiwe Ni mtapeli
Wewe ambaye sio Tapeli hata Shilingi ya serrilali hujapeleka Zaidi Nchi majirani wamafikisha misaada kabla yetu .......HII aibu ya wapi jamani Leo tunaipata......

Tuambiwe tatizo Ni nini ???. Afya ??? Kingereza????? Ni nini ??? Kama unaweza kukariri hadi majina ya vitu ...inakuwaje ngumu kumeza hotuba nzima kichwani.....???? Na Uzuri hotuba Nyingi vikao Rasmi hata marais Wenye uwezo Mkubwa huwa wanatakiwa kusoma...Na sio kukataa kusoma hotuba Za kuandaliwa Wakati Zako hazina kichwa wala miguu ....hata Za walevi klabuni zingefaa

Pole punguza hasira kuna usala wa taifa humu.
 
Aende tu, asing'ang'anie kukaa nchini akilenga kuwadhulumu wahanga fedha zao wanazochangiwa. Nasikia anagoma kuwajengea wananchi nyumba kwa sababu walimchagua mbunge wa UKAWA. Kuna haja ya wanaUKAWA kushinikiza rais atoe fedha za michango zitumike kuwajengea wananchi nyumba. Rais asije akachukua zile fedha za misaada akafanyia mambo mengine maana inaonekana hana mpango wa kuwajengea nyumba.
 
Tatizo watanzania bado tuko mbumbumbu, mpaka sasa mshindi 2020 ameshapatikana
 
Rais ni vema aende UN, huo ndio mkutano wake wa kwanza, isitoshe maafa ya Kagera serikali imeshaanza kuyafanyia kazi na uwepo wake nchini wakati wa janga la Kagera, haujaleta tofauti yoyote.

Kama angeenda Zambia wakati ule tetemeko limetokea mimi ningemshangaa lkn kwa sasa siwezi kumlaumu akienda mkutanoni UN maana kama ni maombolezo ya kitaifa hatukuwa nayo.

Vv
 
Tuzoeee tu..mpaka 2020.... Kuna nini huko UN si kuongea tu na kurudi home. Bora hizo pesa za safari ajenge skuli bukoba
 
Back
Top Bottom