Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Aende tu, asing'ang'anie kukaa nchini akilenga kuwadhulumu wahanga fedha zao wanazichangiwa. Nasikia anagoma kuwajengea wananchi nyumba kwa sababu walimchagua mbunge wa UKAWA. Kuna haja ya wanaUKAWA kushinikiza rais atoe fedha za michango zitumike kuwajengea wananchi nyumba. Rais aije akachukue zile fedha za misaada akafanyia mambo mengine maana inaonekana hana mpango wa kuwajengea nyumba.
Aiseee Mungu wangu kama hilo ndo lengo Mungu aepushie mbali
 
anachokifanya hakina faida yoyote kwa taifa..
kama ni tetemeko,hakuna anachokifanya kimshinde makamo wake..
kupokea tu ripoti !!
anajifanya anajiweza,
athari za tetemeko dogo tu zimemshinda na kuwa ombaomba kwa wafadhili,je lingekua tetemeko kubwa kama lile la Tehran 2003 lililouwa watu 31,000.
Tanzania si sahihi kuonesha tabia ya kujitenga kupitia kiongozi wa nchi..
Mataifa yanagojiweza kama China,Ufaransa marais wake wanahudhuria,iweje kiongozi wa Tanzania..
kila siku chenga mikutano ya kimataifa..
 
Kutokana na umuhimu wa kikao hicho kitakacho zungumzia tatizo la wakimbizi ambalo nchi ni mhanga mkubwa mkulu kamteua Chakaza kumuwakilisha kwenda huko kumwaga pumba za kufa mtu hadi Back in Moon azime zake.
Kwa maoni waweza kum pm Chakaza nini akaongee huko.
(Joke)
 
Usalama hilo bag amapewa Rais? hizo pesa mmeziscan kabla yakump rais azishike?
Mh Rais sikushauri ushike kitu toka kwa mtu pasipo pitia kwa bod guide wako dunia imebadilika sana na sio wote wanatupenda hata yule kuleta misaada yake na jesh haipo sawa...
Ni kweli mkuu ulilo andika ingechukuliwa tahadhari
 
cc: kikwete

ubinafsi na roho mbaya ni kitu kibaya sana imepelekea kupatikana kwa huyu jamaa nahisi hata wao wazee wa kukata wenzao matumbo moto wanazid kukonda tu wakat kila kitu wanapata wakat wamestaafu mwinyi peke yake ndo anapumzika na kastaafu hawa wengine full stress.
 
Ha ha ha. .. ""The my country is very rich , ze esikweki stopped me attendingi ze jenero asembli. Pls the bizinesman helpu ze kagera pipo""
nenda general assembly kama utapata hata cha kuchangia[emoji16][emoji16]
 
Hana wasaidizi? Mwisho watatusahau na waache kutualika matokeo yake mtu ukienda ulaya wazungu wanakuuliza umetokea Nigeria au South Africa? Maana tz hawaijui
kwa safari zote zile za JK bado awatujui...???basi safari aziwez kutusaidia kututambulisha tutafute njia nyingine
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hii picha mie 'sijaielewa' kabisa! Ni pesa za misaada ya wahanga wa tetemeko anaowaambia "wasibweteke"?

jpm-png.402894
Hata mimi hii picha siielewi!!

Inakuaje Waziri Mkuu anapeleka pesa Ikulu kwenye school bag!! Rais anacheka kwa sababu hiyo au amefurahi tu!!
 
Ha ha ha. .. ""The my country is very rich , ze esikweki stopped me attendingi ze jenero asembli. Pls the bizinesman helpu ze kagera pipo""
nenda general assembly kama utapata hata cha kuchangia[emoji16][emoji16]


Mkuu umenochekesha
 
Ila kusema ukweli wabongo tunapenda siasa mpaka inakuwa kinyaa sasa.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hana wasaidizi? Mwisho watatusahau na waache kutualika matokeo yake mtu ukienda ulaya wazungu wanakuuliza umetokea Nigeria au South Africa? Maana tz hawaijui
Du, unasujudia wazungu hivyo? Salaaleh!
 
Back
Top Bottom