Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Mechi dkk 90 ndo kwanza dakk ya kwanza imeisha halafu mnatokwa povu,bado miaka 4 mtaisoma namba kisawasawa
 
Acha kuongea pumba, wao ni wajinga kuwa na UN na kuitisha huo mkutano?
Hata kama mtu ameongea jambo ambalo halikufurahishi, sidhani kama kumwita binadamu mwenzako kenge ni sahihi. Hivi kweli wewe ulishawahi kujibishana na kenge kwa jambo lolote! Tujitahidi kutumia lugha za kiungwana jamani.
 
Nilishasema hawezi kwenda, wacha watusahau Ila umuhimu wa jiran atakuja ujua too late hata gadhaf role model wake alikuwa anaenda.
 
Kutokana na janga la tetemeko la ardhi, kwa mara nyingine Mheshimiwa Rais wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania analazimika "kuvunja" safari ya kwenda kuhudhuria Mkutano wa 71 wa Umoja Mataifa ambao unaanza kesho tarehe 20.09.2016 hadi 30.09.2016

Kwa mujibu wa Ms. Mindi Kasiga aliyehojiwa na gazeti la The Citizen Mheshimiwa Rais amelazimika kutoenda kuhudhuria mkutano huo ili kushughulika na matokeo ya maafa ya tetemeko hilo lililochukua maisha ya Watanzania wenzetu takribani 19 huku wengine takribani 200 wakiachwa majeruhi.

NOTE: Mada mbalimbali zitajadiliwa kwenye mkutano huo lakini moja ya mada ambayo inatarajiwa kuwa na msisimko ni ile itakayozungumzia wimbi la Wakimbizi na Wahamiaji duniani. Kwa mujibu wa tovuti ya Umoja wa Mataifa, hii ni mara ya kwanza Mkutano Mkuu wa UN kukutanisha wakuu wa nchi kujadili suala hilo.

Pamoja na hilo la Wakimbizi na Wahamiaji, pia kutakuwa na kikao muhimu sana ambacho kitachukua takribani 70% ya mkutano wote kutokana na umuhimu wake. Huu ni mdahalo unaolenga kuzungumzia malengo ya maendeleo endelevu na nafasi yetu katika kusukuma mabadiliko ya kufikia malengo hayo.

United Nations

View attachment 402894

View attachment 402895
Licha ya kikwazo cha lugha pia ana uwezo mdogo sana wa kuongea mbele ya watu wenye akili timamu
 
Tetemeko ni vijisababu tu wanapata Masada ya wahanga wao wanagawa nusu kilo Mimi niko Bukoba hali nimbaya sana watu wanapewa kikombe kimoja cha unga na sukari alafu mnasema eti anashugulikia wahanga wa tetemeko? Mbona hana hofu ya Mungu? Nakuapia Taifa hili linashambuliwa kutokana na Magu kasome torati Daudi alizini na mke wa Uria lakini Mungu akadhibu Taifa zima mimi naamini majanga mengi yataendelea kutokea nawatu wataendelea kufa nakuteseka kutokana na uovu wa magu na kachama kake.
 
...tetemeko limetumika kama justification tu ya kutoenda UN....hata kama kusingekua na tetemeko...possibly asingeenda....kungetafutwa tu justification nyingine....tuna kazi kweli kweli...
 
Sababu zinatolewa ni tetemeko la ardhi Kagera cha kushangaza huko Kagera kuanzia tetemeko limetokea hajafika. Duh kuna sababu nyingine
 
Tetemeko lilitokea lini?na je tangu tetemeko limetokea ameshafika kagera kutoa pole?
 
hahaa hapo ndo utakapowajua maana hawachelewi kutuambia mkutano wa UN una maana kuliko maisha ya ndugu zetu wahaya...hamna jambo analofanya raisi wakakosa negative reason
That's true
 
Back
Top Bottom