Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Mshana msiba siku ngapi Africa?
je wahanga wameshapata maitaji?
utabir unasemaje
embu tumuunge mkono huyu mh mambo mengine hata shetani anatushangaa kwa hakika nasema

Nimuunge mkono kwa lipi? Je katuma msaada wowote uko Kagera?
Kenya wametoa misaada
Uganda wametoa misaada
Je serikali yetu imetoa msaada gani?
 
Kutokana na janga la tetemeko la ardhi, kwa mara nyingine Mheshimiwa Rais wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania analazimika "kuvunja" safari ya kwenda kuhudhuria Mkutano wa 71 wa Umoja Mataifa ambao unaanza kesho tarehe 20.09.2016 hadi 30.09.2016

Kwa mujibu wa Ms. Mindi Kasiga aliyehojiwa na gazeti la The Citizen, Mheshimiwa Rais amelazimika kutoenda kuhudhuria mkutano huo ili kushughulika na matokeo ya maafa ya tetemeko hilo lililochukua maisha ya Watanzania wenzetu takribani 19 huku wengine takribani 200 wakiachwa majeruhi.

View attachment 402894

View attachment 402895
Hongera sanaaaa mchapa kazi tu
 
naomba kuuliza mbona huyo mmama anakabidhi pesa in terms of us dollar.. kwani bureau ela za kitanzania zimeisha?
 
Kutokana na janga la tetemeko la ardhi, kwa mara nyingine Mheshimiwa Rais wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania analazimika "kuvunja" safari ya kwenda kuhudhuria Mkutano wa 71 wa Umoja Mataifa ambao unaanza kesho tarehe 20.09.2016 hadi 30.09.2016

Kwa mujibu wa Ms. Mindi Kasiga aliyehojiwa na gazeti la The Citizen, Mheshimiwa Rais amelazimika kutoenda kuhudhuria mkutano huo ili kushughulika na matokeo ya maafa ya tetemeko hilo lililochukua maisha ya Watanzania wenzetu takribani 19 huku wengine takribani 200 wakiachwa majeruhi.

View attachment 402894

View attachment 402895
Usalama hilo bag amapewa Rais? hizo pesa mmeziscan kabla yakump rais azishike?
Mh Rais sikushauri ushike kitu toka kwa mtu pasipo pitia kwa bod guide wako dunia imebadilika sana na sio wote wanatupenda hata yule kuleta misaada yake na jesh haipo sawa...
 
Usalama hilo bag amapewa Rais? hizo pesa mmeziscan kabla yakump rais azishike?
Mh Rais sikushauri ushike kitu toka kwa mtu pasipo pitia kwa bod guide wako dunia imebadilika sana na sio wote wanatupenda hata yule kuleta misaada yake na jesh haipo sawa...

Unataka wamtapeli kama mlivyo matapeli?
 
Hizi excuse zimezidi sasa dah, anyway time will tell
 
Dah! Kipindi kama hiki mwaka jana ungekuta watu zaidi ya 30 wameshafika New York na wangekaa karibu mwezi mzima. Sasa tutabanana hapa hapa Tandale.
 
Aliyekuwa anaenda bila kukosa mahudhurio mlimuita Vasco Dagama. Anayebana matumizi....mnamponda humu. WaTanzania tunataka nini?

By the way UN New York.....ni kitu gani kipya anahitaji kwenda kufanya? maana maximum time ya kuongea kwa kila Kiongozi ni dakika tano! Na mara nyingi kumbi zinakuwa empty! wakubwa wameshaondoka.

WATANZANIA tuamke...Tanzania ya Magufuli ni ukurasa mwingine. You either adapt or perish!
 
Kutokana na janga la tetemeko la ardhi, kwa mara nyingine Mheshimiwa Rais wetu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania analazimika "kuvunja" safari ya kwenda kuhudhuria Mkutano wa 71 wa Umoja Mataifa ambao unaanza kesho tarehe 20.09.2016 hadi 30.09.2016

Kwa mujibu wa Ms. Mindi Kasiga aliyehojiwa na gazeti la The Citizen, Mheshimiwa Rais amelazimika kutoenda kuhudhuria mkutano huo ili kushughulika na matokeo ya maafa ya tetemeko hilo lililochukua maisha ya Watanzania wenzetu takribani 19 huku wengine takribani 200 wakiachwa majeruhi.

View attachment 402894

View attachment 402895
So kazi inayombakisha Dar ni kupokea misaada ya wahanga au kuna lingine? Hv huyu atakwepa safari hadi lini?
 
Back
Top Bottom