Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

hahaa hapo ndo utakapowajua maana hawachelewi kutuambia mkutano wa UN una maana kuliko maisha ya ndugu zetu wahaya...hamna jambo analofanya raisi wakakosa negative reason
 
Tetemeko la ardhi halijaletwa na serikali..

[HASHTAG]#jpm[/HASHTAG]
Ndilo hilo la msingi hivyo tunamuhitaji wetu now than ever ili kudesign njia rahisi ya kuweza kuyaleta hapo baadaye
 
Tetemeko halikuletwa na serikali fanyeni kazi
Acheni kubweteka
 
Hongera Mheshimiwa Rais Manake Hii Nchi Ilivyojaa Majizi, Hicho Kibarua cha Kupokea Minoti Si Cha Kuachiwa Yeyote Yule... Watakwiba!!
Aende na kugawa kabisa maana bila hivyo maduka ya watu yatajaa
 
Sio kweli kabisa tetemeko linatumika kama sababu tuu
Mshana msiba siku ngapi Africa?
je wahanga wameshapata maitaji?
utabir unasemaje
embu tumuunge mkono huyu mh mambo mengine hata shetani anatushangaa kwa hakika nasema
 
Back
Top Bottom