Luharamula
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 495
- 333
Kweli watanzania tumepatikana, mtakatifu YOHANA kwa wahanga wa tetemeko hataki kwenda, na mikutano ya kimataifa nayo hataki kwenda, nini hiki jamani!!!???
Ni sawa na mtu flani afuge mbwa na kila Siku haishi kumsifia wakati mbwa mwenyewe ni wa kubwekea ndani kwake tu, tena chumbani.
Ningelijua.....huja mwisho wa safari!!!!!
Ni sawa na mtu flani afuge mbwa na kila Siku haishi kumsifia wakati mbwa mwenyewe ni wa kubwekea ndani kwake tu, tena chumbani.
Ningelijua.....huja mwisho wa safari!!!!!