Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Rais Magufuli afuta safari ya UN General Assembly

Wewe aidha ulikuwa sexually abused utotoni au ulilelewa kwa shida na bila mapenzi ya Wazazi, hii ni tabia ulioionyesha kwenye uandishi wako inaelezea hilo yaani watu waliopitia utoto mgumu!
You are way above this!! Unamtukania mtu Child abuse, tena sexual abuse?!! Jaribu kutumia busara uliyotunukiwa na Muumba wako, japo kidogo.
 
Jamaa hapendi mikutano angekuwa na uwzo angefungia ata mikutano ya bunge had 2020
 
Dah! Ukisikia majanga ndy haya membe alitahadharisha mapema kuhusu mtu huyu
 
Kupatwa kwa jua na kutokea Tanzania ulikuwa ni Ujumbe kuwa kwa Uongozi huu TANZANIA TUMEPATWA
 
Soon na yeye atapewa nickname sababu ya kutosafiri nje.

Na hiyo ndiyo itakkuwa opposite ya Vasco Da Gama.
Yeyote ajaribu kuanzisha hiyo nickname...Atashughulikiwa bila huruma
 
Ningekuwa na M.7 ningekomenti lakini kwa kuwa sina kwa sasa hivi, ngoja nihifadhi komenti yangu.
 
Eti wanajadili ongezeko la wahamiaji. Uongo mtupu. Tatizo la wahamiaji kwa kiasi kikubwa linasababishwa na hao wenyewe. Kwenda kujadili huko ni kudanganyana tu na kupotezeana muda
 
Wazungu wanaanzisha figisu wenyewe halafu wanataka watu tukajadili mambo yao, mgogoro wa Syria na sehemu nyingine za dunia umeanza kuwarudia naona wanatapatapa.
 
Rais Magufuli hawezi kwenda huko kujadiliana unafiki mtupu. Hao ndio wamesababisha wahamiaji wa Iraq, wa libya, wa Congo, wa Syria na nk. Eti sasa wanataka wengine wakajadiliane nao jinsi ya kutatua hilo tatizo
 
Safi sana Magufuli.Magufuli anaheshimu ahadi zake.Alisema kila mtu afanye siasa alikochaguliwa.Mbunge akafanye kwenye jimbo lake,diwani kwenye eneo lake nk.Magufuli anaona umuhimu wa kufanya siasa alikochaguliwa ambako ni Tanzania.Umoja wa mataifa marekani hawakumchagua asipoenda kuendesha siasa kule sawa tu.

Ila nawashangaa CHADEMA eti wameenda kuendesha siasa ujerumani wakati wajerumani hawakuwapigia kura sio eneo lao walikopigiwa kura
waone
Viongozi wa CHADEMA, waenda kueleza umma wa Wagermany na EU yanayojiri katika Serikali ya sasa
 
Eti wanajadili ongezeko la wahamiaji. Uongo mtupu. Tatizo la wahamiaji kwa kiasi kikubwa linasababishwa na hao wenyewe. Kwenda kujadili huko ni kudanganyana tu na kupotezeana muda
Si mkawaambie hiyo fact badala ya kughairi kwenda !?
 
Back
Top Bottom