Si kweli kwamba viongozi wakuu wote wa nchi za dunia wanaudhuria mkutano huo wa UN, Nchi zingine wanawakilishwa na na viongozi wengine wakiwamo mabalozi wao walioko huko, Nchi zingine wapo na excuse kutokana na sababu mbalimbali na wanatuma contribution zao electronically, wengine wanashiriki remotely (Tukumbuke technologia - Dunia kama kijiji ) ..... Nchi zingine wanaenda kama wasikilizaji tu....
Bado ukweli unabaki kuwa G8 ndio mabingwa wa mikutano hiyo..... Asipoenda USA, Germany, France, Russia, China na wengine kama Brazil, SA.... unaweza question kwanini.....???
Nadhani viongozi wengi wangependa kuonana na Nyota hii ya Tanzania....... Record yake ipo Juu.... Viongozi wakuu wa dunia wanatambua nini anafanya katika Taifa lake na ni jambo zuri tu. Na ni mfano wa kiongozi bora anayeibukia katika karne hii ya ustaarabu Africa...... Utaratibu wa maisha lazima ufuatwe sio kuishi ishi tu bila mpangilio na ndio wengi wale wa maisha ya mikato hawataki na wanambeza....
Kwa wale members waliozoea maisha ya kushabikia kitu bila ya kuwa na critical thinkings, ubababishaji , usanii, wizi, mission town, utapeli na wenye chuki tu na kiongozi wetu huyu mwenye nia njema na nchi hii watanipinga.........Ila karibuni tuendelee kujadili bila matusi.