Tetesi: Rais kuanza ziara ya siku 6 Canada mwezi ujao

Unaijua historia ya Afrika Kusini? Unajua walipata uhuru lini? Kwa taarifa yako akina Mandela hawakuwa wanapigania uhuru bali walikuwa hawataki ubaguzi wa rangi. Kinachawaondoa wazungu huku Afrika ni sera a ardhi zinazobadilika kila mara kutokana na viongozi waliopo madarakani.

Ndio maana nikasema Wakoloni hawakuondoka kwa sababu hatukuwataka, waliondoka kwa sababu ilikuwa ni lazima waondoke na hawakutaka kuishi hapa kwani wangetaka wangeishi kwa nguvu kama wanavyoishi AK, Amerika isitoshe Mzungu wa AK anayeitwa Boer ambaye ni Muholanzi asili yake maana au tafsiri ya Boer ni Mkulima na waliondoka Uholanzi wakitafuta sehemu ya kulima iliyofaa na Afrika Kusini ilifaaa na ndio maana waliseto huko, walipita kote huku kwetu lkn walishindwa ardhi na hali ya hewa siyo rafiki kama AK kwa kilimo chao …
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.

Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.

Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.

Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Wanaume akina Thompom wanarudi🤣🤣
 
Bila Katiba mpya itakuwa kila Rais akija anafanya yake anavyojisikia.

Imagine Rais fulani anakuwa haamini katika kutembelea nchi nyingine mara nyingi halafu akija mwingine anafanya kinyume chake!

Sasa tuchukulie nani anafanya Kwa usahihi kati ya wawili?

Sasa hapa panakuwa na kitendawili ambacho kinapadwa kuteguliwa na Katiba.
 
Nani amekudanganya ? Unafikiri kwa nini Wakulima wa Kizungu hawa kuseto Afrika badala yake wakahamia Bara Amerika ? Hata Afrika yenyewe sehemu pekee waliohamia ni Afrika Kusini ambaye climate yake ni tofauti kabisa na Tanzania!
Wewe unaishi wapi?Wakulima wepi walihamia Marekani?
Una maana wahamiaji waliokimbia njaa Ulaya kutoka Nchi mbalimbali kama Ireland,Great Britain,Germany,Sweden na Norway?
Wazungu walowezi walikuwepo Tanzania na walikimbizwa na Azimio la Arusha,wapo Kenya mpaka sasa wana ardhi kubwa sana mmojawapo maarufu ni Lord Delaware.Walikuwepo Zimbabwe wakafukuzwa na Mugabe na kuporwa mashamba yao.
Wapo Zambia.
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.

Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.

Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.

Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Vasco da gama wa kike huyu.
Tunataka aelekee china kupata viwanda sio kuhangaika kutumika na wenye mahoteli wa kitaliani kupata watalii wajaze mahoteli yao.
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.

Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.

Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.

Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Hiyo si angeunganisha huko huko baada ya kutoka marekani....
 
Bila Katiba mpya itakuwa kila Rais akija anafanya yake anavyojisikia.

Imagine Rais fulani anakuwa haamini katika kutembelea nchi nyingine mara nyingi halafu akija mwingine anafanya kinyume chake!

Sasa tuchukulie nani anafanya Kwa usahihi kati ya wawili?

Sasa hapa panakuwa na kitendawili ambacho kinapadwa kuteguliwa na Katiba.
Hapa si ndio inaitwa kubalance au nakosea??!

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Duru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.

Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.

Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.

Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.
Vasco Dagama
 
Ndio maana nikasema Wakoloni hawakuondoka kwa sababu hatukuwataka, waliondoka kwa sababu ilikuwa ni lazima waondoke na hawakutaka kuishi hapa kwani wangetaka wangeishi kwa nguvu kama wanavyoishi AK, Amerika isitoshe Mzungu wa AK anayeitwa Boer ambaye ni Muholanzi asili yake maana au tafsiri ya Boer ni Mkulima na waliondoka Uholanzi wakitafuta sehemu ya kulima iliyofaa na Afrika Kusini ilifaaa na ndio maana waliseto huko, walipita kote huku kwetu lkn walishindwa ardhi na hali ya hewa siyo rafiki kama AK kwa kilimo chao …

Zimbabwe wapo wazungu kibao, nenda Kenya hapo wamejaa tele, nenda Arusha kuna wazungu wengi tu wanalima maua. Acha kulazimisha mambo yasiyokuwepo.
 
Ni kweli Ila hata siku moja tusije kujiongopea tutajengewa nchi na wengine.
Tunapasea kuwa na sera ambazo zitatuongoza ili kupata Maendeleo, hii ya kusema sijui watakuja watu kutoka Canada au US ni akili mbovu tu na ndio sababu zinatufanya Hadi leo hii nchi za Africa ni maskini.
Mwinyi alikuja na sera ya kuruhusu kila aina ya watu kuja, tukafeli Hakuna Cha maana kiliendelea.
Mkapa akaja na sera hizohiz na akawapa hadi mashirika karibu yote, lakini mwisho wa siku tukafeli.
Ukweli ni kuwa nchi hii hatuwezi kujengewa Wala kuletewa Maendeleo na wa nje, sanasana watatumia udhaifu wetu kuchota kila chenye thamani.
Tatizo kubwa kuliko yote ni umasikini wa fikra.
Hakuna atakayekuja kuwekeza kwa faida ya wananchi. Kila anayewekeza ni kwa faida yake.
Nchi inaendelezwa na wananchi wake yenyewe vinginevyo itakuwa ya hao wawekezaji wageni ili waiendeleze.
Hata hivyo, uwekezaji wa wageni ni muhimu kama chachu tu ya kuwaamsha wenye nchi na ni lazima kuwe na sera rasmi za kuwaibua wazawa.
Huwezi kutenganisha utajiri wa taifa na ile wa raia mmoja mmoja.
Raia masikini hufanya nchi kuwa masikini na kinyume chake.
 
Sasa ni dhahiri kwamba CCM wamefanya U-turn kuhusu dhana ya UBEBERU.

Hiki ndicho chama kitakachowaletea wananchi wa Tanzania maendeleo...Leo hivi kesho vile hakuna mwendelezo wa kisera ndani ya chama hiki kinachojinasibu ni kikongwe Africa nzima.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom