nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,943
Hatari umeme wenyewe wa tabu watamwagilia na jenereta sijui huyo mwekezaji atakua chizi kujibebesha gharama za uzalishaji za kijinga.Kuna ardhi nzuri kwa kipimo chako, lkn huwezi fananisha na Midwest US au South Amerika, Tanzania maji yenyewe hakuna, ukame kila uchwao, ulishawahi kusikia ukame Mid west USA? Isitoshe kama ardhi ingekuwa bora hivyo wangeshakuja, Afrika Kusini tu walitaka kuwekeza kilimo hapa wamechemsha wamerudie kwao, sasa hivi shairi ya kutengeneza bia tuna import!
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app