Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,462
- 4,543
Nyie watu mnafahamu mambo mengi mno.
ππππππ kamba Yao ni ndefu
Nyie watu mnafahamu mambo mengi mno.
πKila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
Kwa muandiko wako huu hata hiyo habari yako ni uongoKila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
πKila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
πKila safari rais analipwa $1 million sawa na Tzsh 2.3 bilion . Kwa safari alizofanya(nje ya nchi) mpaka sasa ana zaidi ya bilion 40Tzshs.
Hizi fedha ni tofauti na posho.
Ni hela yake ya mfukoni tu.
Watz tunalo
Na mimi je?
MaghayoNa mimi je?
Northen hemisphere kuna majangwa na mabarafu ya kufa mtu Southen hemisphere ndio maeneo mazuri kwa hali ya hewaMaji yapo? Wapi ? Niambie sehemu yenye maji ya uhakika Tanzania ? Unaposema hawategemei mvua unamaanisha nini ? Northern Hemisphere mvua zinanyesha karibia kila siku, hakuna mvua za msimu kama nchi za tropics kama zetu, hivyo Northern Hemisphere maji ni ya uhakika kwa maana mito imejaa mwaka mzima, udongo laini mwaka mzima, hakuna mambo ya sijui masika na vuli huko ni full year mvua.
Unafikiri kwa nini Mzungu aliondoka Ulaya kuhamia Amerika na siyo Afrika? Nchi pekee ambayo iko vizuri Afrika ni Afrika Kusini na ndio maana Mzungu kaseto huko, kuna maji mengi, hali ya hewa inaruhusu, kila kitu kipo, β¦
Let all Tanzanian support her,bulding the Tanzania's economy and Western country's relationship which destroyed by Late Magufuli is not a simple issue.
Kwani wewe ulitaka aende wapi ? Mara nyingine mnajipa stress Bure bila sababu. Wewe mwananchi jutafutie shughuli ya kujipatia fedha, achana na hizi mada za jikoni.Duru zinatabanaisha huenda Rais akawa na ziara ya siku 6 mnamo mwezi ujao huko Canada.
Pamoja na mambo mengine inaelezwa atakutana na wadau mbalimbali wa utalii ili kuimarisha sekta hiyo.
Vilevile atakutana na wadau wa sekta ya madini.
Nb: Asante mama kwa maandalizi ya safari.